KUN JF-Expert Member Oct 17, 2011 382 80 Oct 25, 2011 #21 umetumwa au? hayo ni maongez na mtazamo binafsi wa mtu na wala si msimamo wa chama
Barubaru JF-Expert Member Apr 6, 2009 7,161 2,323 Oct 25, 2011 #22 Mtoa bandiko amechanganya Chumvi na sukari. Tumsaidie kupembua. kuwa kuwa kuna mtazamo binafsi na mtazamo wa chama.
Mtoa bandiko amechanganya Chumvi na sukari. Tumsaidie kupembua. kuwa kuwa kuna mtazamo binafsi na mtazamo wa chama.
Baba Swalehe JF-Expert Member Jun 6, 2017 19,526 37,941 Aug 27, 2017 #26 Watu mshafukua khaaaa!!!!!! usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau