Mao ze dong
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 941
- 1,006
Jamani naombeni wale wa udom tueleweshane kuhusu hili hasa wale mliopo dom ambao ni rahisi kupata habar za chuo coz wengine tupo nje ya tz na kupitia humu tunapata habar zote
UTATA
1.Kuna fendha iliyotakiwa kulipwa as direct cost kabla ya tr 30,ambayo ni 182500 je pesa hii kwa mtu aliyepata 100% atahitaj kuilipa?
2.katika hiyo direct cost hamna hela ya hostel kama walivyoorodhesha,je ela ya hostel 130000 tunailipa sisi au inakua included kwenye ela kutoka bodi?
3.kama haipo kwenye ela kutoka bodi,je tutaijumlisha kwenye ile 182500?
4.katika direct cost kuna ela ya matibabu kama 122000 kama sikosei,je ela hii inalipwa hata kama mtu unakitambulisho cha afya(NHIF)?
5.je kama huna kitambulisho cha afya,utalazimika kukata kitambulisho na kulipa hiyo ada ya matibabu?
6.je kwa waliopata mkopo mf asilimia 50 na kwenye maelezo yao wanasema ulipe nusu ya tution fee,mf kwa mtu wa mil 1 atatakiwa kulipa 500000 je atalipa hiyo ela as 500000 au atalipa 250000 kutokana na mkopo aliopata,yaani 50%?
7.je hela ya tuition fee ina deadline au unaweza lipa siku yoyote kabla ya kuwasili chuo?
8.kwa aliye na nambazao pia akinisaidia siyo mbaya
9.je ile laki mbili ya library unapewa pamoja na ela ya chakula?
10.inachukua muda gan kabla ya kuapokea loan?
Naomba msaada kwa unaefaham moja ya vitu hivyo.nimepata 3777500 na fee yangu ni 1.2mil hapa sijajua natakiwa kujilipia sh ngap kutokana na kuwepo kwa mkanganyiko kuhusu iyo ela ya hostel kama inatoka kwetu au bodi.kwa mnaoendelea na masomo mnaweza kutusaidia pia
UTATA
1.Kuna fendha iliyotakiwa kulipwa as direct cost kabla ya tr 30,ambayo ni 182500 je pesa hii kwa mtu aliyepata 100% atahitaj kuilipa?
2.katika hiyo direct cost hamna hela ya hostel kama walivyoorodhesha,je ela ya hostel 130000 tunailipa sisi au inakua included kwenye ela kutoka bodi?
3.kama haipo kwenye ela kutoka bodi,je tutaijumlisha kwenye ile 182500?
4.katika direct cost kuna ela ya matibabu kama 122000 kama sikosei,je ela hii inalipwa hata kama mtu unakitambulisho cha afya(NHIF)?
5.je kama huna kitambulisho cha afya,utalazimika kukata kitambulisho na kulipa hiyo ada ya matibabu?
6.je kwa waliopata mkopo mf asilimia 50 na kwenye maelezo yao wanasema ulipe nusu ya tution fee,mf kwa mtu wa mil 1 atatakiwa kulipa 500000 je atalipa hiyo ela as 500000 au atalipa 250000 kutokana na mkopo aliopata,yaani 50%?
7.je hela ya tuition fee ina deadline au unaweza lipa siku yoyote kabla ya kuwasili chuo?
8.kwa aliye na nambazao pia akinisaidia siyo mbaya
9.je ile laki mbili ya library unapewa pamoja na ela ya chakula?
10.inachukua muda gan kabla ya kuapokea loan?
Naomba msaada kwa unaefaham moja ya vitu hivyo.nimepata 3777500 na fee yangu ni 1.2mil hapa sijajua natakiwa kujilipia sh ngap kutokana na kuwepo kwa mkanganyiko kuhusu iyo ela ya hostel kama inatoka kwetu au bodi.kwa mnaoendelea na masomo mnaweza kutusaidia pia