sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Nawashukuru wana jamii kwa mchango wa mawazo leo asubuhi nilikwenda crdb azikiwe branch kuulizia transfer yangu ya pesa kutoka ng'ambo.....nimeambiwa kesho pesa zitakuwa cleared...inahitaji at least three business days....nilishangazwa kidogo na kitengo cha huduma kwa wateja ni kama kimehemewa hivi...pasco naomba unifafanulie zaidi maana niliambiwa shirika linalonitumia hela halina dollar account hivyo pesa ilibidi zipelekwe kwenye correspondent bank yenye dollar account na crdb....lakini mbona miezi mingine pesa zinaingia bila usumbufu? Kwa nini mwezi huu??​