figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
dah mzee wa mia umeipata wapi hiyooo../
Mzee hapa tutauwana mi natafuta pesa abilia harudi bana kila mtu anatafuta ulaji bana!
hahahaahaahaaha. ova
mzee wa .mia kwa vitukio hujambo...
utaniua, nmesema sitoi kitu. ova
Mabosi wao wapo Bar wanakunywa bia. Wao wanapigana.
Sitaki shari.Ntarudisha.