Kisheria utaratibu huu haupo ila ni utaratibu wa kiunyanyasaji uliobuniwa na watawala hususan TAMISEMI! nia yao ni kuchukuwa rushwa kwa sababu wapo baadhi huruhusiwa kuhama bila kubadilishana. Hebu nambie ww upo Ngara unataka kwenda kuhamia Kilosa, utampataje mtu wa kubadilinae kiurahisi? ni wazi kuwa ni utaratibu wa kiunyanyasaji na lazima rushwa itumike kuweza kufanikisha.
Kuhama siyo hadi KUBADILISHANA yaani wasomi mnashindwa kuongea na maafisa wenu wakawapitishia barua zenu na mkasepa hadi manakesha humu kutafuta wa kubadilisha naye wengi wa namna hii mchakato ukikaribia kukamilika mmoja anazingua
Asilimia 60 ya wengi mlioweka namba naamini mmeshapogiwa simu na watu wakijidai wapo tamisemi na wanaweza kuwasaidia lakini tahadhari kwenu hao wote ni matapeli tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.