Utaratibu wa kubeba maiti

Mnawaza mbali sana.

Hivi hata basic needs zimetushinda, sembuse ya uchunguzi wa kipolisi??

Kwa elimu zetu za kata sipiyu inachorwa ubaoni?

Bado tuna hatua ndefu sana.

hapana dola haiko serious!

kila tu ajue kuwa tu akifa ndani kitu cha kwanza ni kupiga simu polisi
 
Ivi nyie mnazungumzia Tanzania au nchi gani? Manake kama nu Tanzania yetu hii, hayo mambo mnayoongelea ni ndoto za alinacha!
 
Hii ndiyo bongo,kazi kwenu.
Ambulance ziko bize kwenye misafara ya rais.
 
kitu kingine cha ajabu mtu akidondokea kichwa kuna possibility kubwa kwamba damu inaweza kuwa inachanganyika na ubongo slowly kwaio unakuwa na mda mchache sana kabla uyo mtu hajafa wao badala ya kwenda moja kwa moja hospitali walipitia obey polisi kufata pf3 huu ni utaratibu unabidi kupitiwa kwa zile case serious! na pia kama ni mshituko wa moyo alipata marehemu basi moyo unaweza kuwa ulisimama kwa muda kwaio inabidi utaalamu wa wa kum-handle marehem wakati wa kumpeleka hospitali huwezi tu kumnyanyua inabidi uwe na machela koz hatakiwi kuwa katika pozi la kukaa la sivo damu itashuka kutoka kwenye ubongo na apo ndo unakuwa umemuua kabisa bila ya wewe kujua, ata Vivian Foe alipodondoka walikosea na kumnyanyua wakati case ya Muamba hawakumnyanyua kwaio suala la Kanumba liliitaji uelewa wa kila kona ili apone kwaio anaweza kuwa amekufa kutokana na kuzungukwa na mazingira mabovu ya kufika kwa msaada haraka, uelewa mdogo wa first aid ya watu walio karibu na pia process duni ya serikali kuhusu watu mahututi...suala la whisky pia linatakiwa lichunguzwe kwa undani inawezekana marehemu alikunywa na something else madawa ya kuongeza nguvu za kiume au alikuwa kamaliza dozi ya ugonjwa anything is possible ikasababisha apate mild heart attack kutokana na kauli ya Lulu kwamba marehemu alilegea...lastly ile nyumba inatakiwa kuwa crime scene nothing leaves or enters na personal dr wake ahojiwe hali ya afya ya marehemu recently na zamani ijulikana what prescriptions alikuwa anatumia etc etc...hii sio case ya kuchukuliwa lightly...ni watu wangapi waliingia mle ndani for for the past days na walileta nini? waliingia wapi na wapi vinywaji vipimwe kama havijawa contaminated na anything, vitu vyote alivoshika marehemu viangaliwe for sumu ya kupaka etc etc hii ndo forensic examininations...
 
Forensic crime scene investigation is not existing in Tanzania. In this field our police are ignorant. By the way they don't need solid evidence to convict or acquit any one.it is very scary if you think critically our laws, order and security. Note emergence services ended with extinction of Volkswagen Combi with blue sirens which were operating those far forgotten days.
 
Hii itawezekana tu pale tutakapoweza kujenga mabarabara ya juu, daraja la Kigamboni kuwa na umeme wa kutosha, kima cha chini cha mshahara cha shilingi milioni moja, na kuwa na wastaani wa kuishi wa miaka 65. Hii itakuwa mwaka 3012 yaani milenia ijayo.

Hata hivyo namba 5 hapo umedanganya, polisi wa nchi zilizoendelea hawakamati tu mtu kwa kuwa amekutwa eneo la tukio bali ni baada ya kureview evidence na kujiridhisha kuwa mtu husika anafaa kuitwa mtuhumiwa.

Mkuu kheri ya Pasaka.

Hapana sijadanganya, ila ni kwei kabisa mkuu unavyosema lakini hapo kwenye namba tano bado napasimamia kwani ni lazima maelezo ya hao watu wawili yapatikane na mtuhumiwa apatikanapo ndio huwekwa ndani.
 
hapana dola haiko serious!

kila tu ajue kuwa tu akifa ndani kitu cha kwanza ni kupiga simu polisi

Mkuu ni nchi kupoteza mwelekeo tu
kwenye miaka ya sabini na themanini, huo utaratibu kila raia alikuwa anaujua, once mtu anapokufa ndani ama nje, kulikuwa hakuna mtu anayesogelea kushika maiti, cha kwanza ni kumwita mjumbe wa nyumba kumi na yeye ndio anakuwa na jukumu la kuwaita Askari, na by that time Askari wakifika eneo la tukio walikuwa wanajilizisha kwa kuchukua picha na vitu wanavyovijua wao na jukumu la kuchukua maiti pia lilikuwa ni lao.

Hilo la Kanumba labda watu walijua wanweza kuokoa maisha na ndio wakajichukulia uhamuzi wa kumwaisha hospital (sina uhakika na hilo)
 
Askari wa cku izi unaweza kuwaita wakasema hawana usafiri.mafunzo ynyewe wengi wamechakachua,wabongo kuhusu 1st aid tupo nyuma ile mbaya na wengi wamepoteza maisha kwa kuwa ignorant wa ayo mambo.cjui lini 2tafika kucmama peke ye2.
 
ukikumbuka tukio la Fabrice Muamba
napata wasiwasi tunazika wengi wakiwa hai still...
hii nchi utasema tuko miaka ya sitini bado
ajabu mno.....

kweli kabisa kama fabrice muamba inasemekana alikufa kwa masaa 72 leo kanumba kitendo cha kuanguka chini na kupelekwa chumba cha kuhifadhia maiti kulikuwa na uharaka gani
 
jaman kwenye katiba mpya tuungane wadau kuipinga hii sheria ya mgonjwa mahututi kuanzia polisi kwanza,ni bora mtu awahishwe hospitals then polisi ndo waje wampe pf 3 akiwa anapatiwa huduma kwanza ili kuokoa maisha jaman
 
Jamani si wankufa wengi hapa kwa dizaini hiyo ,mbona haya huwa hayasemwi au kwa sababu kafa Kanumb
 
Iwapo mtu amefia nyumbani kwake na mwili wake ukabidi kwenda kuhifadhiwa hospitalini, kwa nini haubebwi na ambulance?

Na iwapo utabebwa na kwa njia nyingine yoyote, kwa nini mwili hawaufuniki?

Na wanapofika hospitalini, kwa nini sio wahudumu wa hospitali wanaowajibika kuutoa mwili huo badala ya walioupeleka hapo?

Nini nafasi ya polisi katika uchunguzi wa kesi kama hii? Baada ya kila hatua ya awali kuchukuliwa na ndugu na majirani?

Refer kifo cha S. Kanumba.

umesomeka!
 
Kuna siku (mwanzoni mwaka jana) roho iliniuma sana baada ya kumuona jamaa abeba mikononi maiti ya binti yake aliefia hospitali ya wilaya Bukombe kwa malaria nikajiuliza ni kwanini hospitali haikumsadia usafiri wa ambulance
 
jaman kwenye katiba mpya tuungane wadau kuipinga hii sheria ya mgonjwa mahututi kuanzia polisi kwanza,ni bora mtu awahishwe hospitals then polisi ndo waje wampe pf 3 akiwa anapatiwa huduma kwanza ili kuokoa maisha jaman
Yaani hata sielewi wanakuwa na maana gani kufanya hivo kwani kila mtu ana haki ya kuishi hata kama ni mtuhumiwa wa mauaji kwani mahakama ndo itaweza kuamua anyongwe but in the mean time anatakiwa kutibiwa na kuokolewa maisha sasa wanapotaka pf 3 sijui wanamaanisha nini au wanajaribu kuzuia nini?
 
kwani tz kuna polisi?
Naipenda chadema
Swali zuri sana umeuliza na mimi pia nauliza Swali kwani Tanzania kuna (Ambulance) au kitu kinachoitwa first aid hakuna hicho kitu hapo kwetu tupo nyuma sana kimaendeleo Watu hufa kabla ya hata kufika hospitali kwa kukosa huduma ya kwanza na magari ya Wagonjwa hakuna. nchi imeoza haina viongozi wazuri Mwenyeezi Mungu isaidie nchi yetu kupata viongozi wazuri inshallah.
 
Back
Top Bottom