bombom
JF-Expert Member
- Feb 6, 2013
- 614
- 226
Umeguswa na nini kuanzisha thread hii. Umejaribu umeshindwa kiasi kwamba unaomba msaada kwa wazoefu?kwa uzoefu kidogo nilionao wasichana wengi sana hupata maumivu makali na hata kulia pindi wanapoingiliwa na mwanaume kwa mara ya kwanza.wengine hata hutokwa na damu sehemu za siri wakati zoezi likiendelea.hii yote inaonyesha ni kwa jinsi gani zoezi hili huwaumiza mabinti wengi na kuwafanya kushndwa kufurahia sex.kwa kuwa mabinti bikra bado wapo ni vyema basi tukabadilishana mawazo na hata uzoefu (kwa wale wazoefu) juu ya namna bora ya kufanya jambo hili kwa manufaa ya wote.