Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
- Thread starter
- #21
Mkuu pole sana....
Hii ndo bongo tambarare....
Jamaa wanakua wanajua kabisa kwamba watu wana mambo mengi ya kufanya na muda ni mdogo...then wanatumia sheria mbovu kukuchelewesha, ila uone njia pekee ni kutoa rushwa....
Isingekua jambo la ajabu kama pia ungeenda hadi jiji kukuta mhasibu 'katoka kidogo'...then ukaambiwa uende kesho asubuhi....na ukienda kesho...kule majembe wanakudai ulipie gharama za maogesho...!
Mkuu, hiyo ni kweli kabisa na ndio maana nasisitiza taratibu za ukamataji na utoaji faini uwekwe wazi ili kuondoa mchezo mchafu namna hii. Hawachelewi kukwambia muda wa kazi umeisha njoo kesho na hiyo kesho unadaiwa hela ya za maegesho na ulinzi!!! Kwa kweli wanaohusika inabidi waiangalie hali hii na kurekebisha la sivyo tutakuja kusikia mtu amefumuliwa kichwa kwa risasi kwa sababu ya ujinga wa namna hii.
Tiba