Utapeli utapeli, ogopa namba hii.....

MOd, naleta uzi huu kwenye jukwaa hili la siasa kwa sababu wengi wanapita hapa. Hili jambo ni la dharura, linapaswa kusomwa na wengi ili kuwaokoa na utapeli huu. Naomba usiuondoe


Ndugu zangu, kuna matapeli yamneibuka yanatapeli kweli kweli. Anatumia namba 0716494277 kutapeli. Anachofanya ni kukutajia jina la ndugu au rafiki yako wa karibu. Anasema yupo kwenye semina, hivyo muwasiliane kwa meseji tu. Anasema ana ndugu yake ana matatizo, hivyo asaidiwe kiasi fulani cha fedha (mimi kanitaka nitume sh 35,000), na kwamba baadaye atakurudishia. Anataka fedha hizo zitumwe kwenda namba 0719020710. Kuna watu wengi sana wameshalizwa. Ukikutana na aina hiyo ya ujumbe utambue kuwa unaibiwa!!! Hizi njaa sasa zimevuka mipaka.


Asante kwa taarifa.Hutu tapeli Ana uhusiano na mke wa chagonja na baraka Marlo?
 
Napata wasiwasi mkubwa. Huenda hao matapeli wanashirikiana na wafanyakazi wa makampuni ya simu kupata taarifa za wenye namba mbalimbali. Huenda ndio wanakopata majina halisi. Hii ni hatari sana. Malengo ya kusajili namba za simu yamekuwa kinyume chake.
 
Asante kwa taarifa,ila kwa wizi huo wakijinga mimi hanipati abadan,hela yenyewe ngumu hivi halafu eti aje **** flani anitapeli kitoto hivi,kwangu wamenoa.
 
taarifa nzuri, lakini huo ni wizi wa kirahisi sana, kwa mtu makini lazima atashtuka tu.
Hivi ule mpango wa kusajili namba za simu uliishia wapi?

bado upo mkuu, onana na freelancers wa mitandao husika!
 
Huu ni utapeli wa kirahisi sana, hivi ni kweli huwa anapata wa kuwatapeli? Ni ujinga kutapeliwa hivi jamani.
 
Poa mkuu ila huo ni wizi ambao umeanza kupitwa na wakati. Kwa hali tulionao kwasasa, ukikubali kuibiwa namna hii basi utakuwa na matatizo!!!
 
last week nilimuuliza janu makamba swali kuhusu utapeli wa kutumia simu JF--> makutano show. Sijui kama maswali yangu yaliulizwa na fina
 
Mwingine huyu hapa, Facebook akaunti yake ina picha ya mdada aliyejifunika uso na anatumia jina la Sam Iyke Nilicheka kweli kweli; lakini nikasema dunia sasa imevamiwa.. Here we go ... ------------------- Love and confidence from Miss Brima ----------------------------------- Hello My Dear! Thanks for your reply. How are you doing today? I believe you are doing well. i am very pleased reading from you and if I can speak openly, my literal aim of contacting you is triggered by the fact that i seek someone to trust and confide in. My names are Miss Brima Malikie. I am 23years old,5.3ft tall, and single never married before. I am from Liberia in West Africa and presently residing in the refugee camp here in Dakar Senegal as a result of the civil war that was fought in my country some years ago. I am the only child of late Engineer Barry Malikie who was the Chairman of Gray Construction Company Monrovia capital city of Liberia. Unfortunately my father was wickedly poisoned to death by his business associate on one of their outings to discuss a business deal in oversea. When I was about trying to come over this irreparable loss in my life, Satan was let loose again and civil war broke out in my country. Civilian massacre became uncontrollable and my dearest mother fall a victim of the civil war. Irrespective of my dilemma, I have always held out my utmost belief and values which I was brought up. I love harmony, children, mostly the disadvantaged, and to give back something to the world which I am a part of, I have bestowed it upon myself to give happiness to those that need it and share with those that have it. I love reading,jogging, music, moves, outing, but must of all, I love dealing with honest people Please listen to this,i have my late father's statement of account and death certificate here with me which i will send to you later because when he was alive he deposited some amount of money in a leading bank which he used my name as the next of kin,the amount in question is $7,500,000USD(Seven Million Five Hundred Thousand United States Dollars) So i will like you to help me transfer this money to your account and from it you can send some money for me to get my travailing documents and air ticket to come over and meet you in your country and continue my Education. Dear i will like you to know that you will be the one to help me in the area of investing the money in any good business of your choice which you know that will be giving us profit while i will continue with my studies in one of the good universities in your country because i want to become a medical doctor in future. I kept this secret to people in the camp here the only person that knows about it is the Reverend because he is like a father to me. I believe that you will not betray me due to your personality and from the responsible site i found you and i am giving you all this information because i believe that i can confide in you. I like sincere, kind, respectful, honest and understanding people, truthful and a man of vision, truth and hard working. Please i will need the below information's to write and submit a letter of nomination to the bank,introducing you as my nominated partner,for you to talk with the bank towards the release and transfer of my inherited money into your nominated account: 1.Your Full Legal Names.... 2.Private And Personal Email Address...... 3.Phone Number................ 4.Contact Addresses........... 5.Nationality....................... 6.Age.................................. Life is very difficult and boring due to the problematic situation which am passing through here In this Camp. We are not eligible to go out from the Camp unless we took permission. Its just like one staying in the prison But I believe by Gods grace i will extricate here soon.l don't have any relatives now whom l can go to all my relatives abscond in the middle of the war the only one l have now is Reverend Father Paul Christopher Adama who is the pastor of Christ The king Church here in the camp he has been very nice to me since i came here but i am not living with him rather i am leaving in the women Hostel due to the camp have two Hostels one for women & the other for men. Below s the Reverend father contact information, Christ The King Church Rev.Fr Paul Christopher Adama (+221-765434630) I will like you to call me so that we can discuses more on this issue. When you call,tell the Reverend father that you want to speak with me (BRIMA),then he will send for me in the female Hostel. As a refugee here i do not have any privilege to anything be it money or whatever because it is against the law of this country. I want to go back to my studies because i only attended my first year in the university before the tragic incident that lead to my being in this situation now took place. Regarding to the above i will like you to keep it confidential and do not tell it to anyone for i am afraid of loosing my life and the money if people gets to know about it. Thanks and God bless you, Looking forward to your urgent response & have a nice day. Attached here is my pictures and i wish to have yours. Yours In Sincerely Miss Brima Malikie.
Mkuu na hii imetoka wapi...?
 
Kurudi nyumbani mama tunaona haaya, mikono
mitupu mama tutarudi vp,
tumepoteza miaka mingi mjini Dar Es Salaam
mama
Kweli pesa pesa inaleta maneno
Jama pesa pesa inapeleka watu jela Aayaaa ooh mama wowoooo nalia mieee


Life in town means more money, if you dont have
money you will suffer, if you dont have money
you'll never sleep, if no money you cant never eat,
you cant even wash your own clothes, pesa pesa
jama inaleta maneno, kweli pesa pesaa inapeleka
watu jela ayaa wouooo Mama yo yo yo nalia mieEe
 
is the tread with political aspects au nna makengeza siku hizi. anyway; nice to inform us babaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
is the tread with political aspects au nna makengeza siku hizi. anyway; nice to inform us babaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Msenyele vp? Mwitongo ametaja sababu ya kuuleta hapa ni kwa kuwa "watu wengi wanapita hapa" na hii ni dharura wanapaswa kuijua,sijui umemsoma?
 
Last edited by a moderator:
Hili zoezi la kusajili simu kwa Tanzania bado halijawa na maana kabisa na ni kama walipoteza muda tu. Usajili wa simu ulitakiwa ufuatane na vitambulisho vya urai na makazi, leseni za magari na anuani za makazi. Bila kufanya vyote hivyo basi ni kazi bure tu. Mtu akitaka kusajili namba yake ya simu lazima aonyeshe kitambulisho chake cha urai ambaco ni electronic na kiwe na taarifa zote muhimu. Ndivyo wenzetu wanavyofanya na kufanikiwa.

Agalia nchi za wenzetu nyingine hata laini haziuzwi kama njugu, kununua simu ni rahisi kuliko kupata lini ya simu. Zipo baadhi ya nchi pia haziuzi kabisa laini za simu kama Japan. Ukitaka simu Japan unapewa na lini tayari na inakuwa imesajikliwa.

Sasa Tanzania mtu anakuwa na laini hadi tano, kwanza ni za nini zote hizo? kama siyo dalili ya utapeli.
 
Asante kwa taarifa ila nadhani kabla haujatuma hiyo chapaa itabidi umkol huyo ndugu yako au umtext than kweli ama
 
Kuna mwingine alinitumia hivi

0652124003 PATA OFFER KABAMBE KUTOKA tiGO WEKA SH,5000 KATIKA AKAUNTI YAKO KISHA TUPIGIE SIMU NAMBA *101*0652124003*4999#OK UTAKUWA NA SH,10000 PAPO HAPO tiGO huyu alinitumia tarehe 2 sep 2012 saa saba mchana Nikamuambia huo uwizi ni wa kizamani sana na mimi pia huwa si uhusudu offer wala bahati nasibu...nitakuripoti kwa polisi na tigo...

Bahati yake sikuwa na muda ila kakoma maana alibakia kimya

Wadau hebu dadavueni hii namba imesajiliwa kwa jina Gani? 0652124003
 
Taarifa nzuri, lakini huo ni wizi wa kirahisi sana, kwa mtu makini lazima atashtuka tu.
Hivi ule mpango wa kusajili namba za simu uliishia wapi?

Serikali yetu siku zote in mipango zimamoto. Ule ulikuwa ni mpago hwewa kama zilivyo TUME hewa zinazoundwa na Serikali. Hazina utekelezaji daima.

MIZAMBWA
INANIUMA SANA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom