Wakusini
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 805
- 609
Naomba niwekwe sawa ama nielekezwe kwa kina kabla sijaingia mkenge kuhusiana na huu utapeli wa vodacom,Tukiachana na huduma ya M PESA ambayo code yake unabofya *150*00# then unapata menu yake.Ila bado cjaipatia vema hii huduma ambayo ina code *150*55#.Hii code ukibofya inakupa ''Welcome to future Banking MBanking,Please enter PIN,na Ukijibu kwa PIN namba 1 inakupa select ,Balance check,My crdt card,mobile money,Transfer to m pesa,.......na ukicheki balance kwa kuweka ile PIN namba 1 unakuta mzigo wa salio la laki nane.ukihamisha kwa mpesa haiendi,Hili ndo limenifanya nigombane na keypad kupost nikiomba tueleweshane kwa anayeelewa hili,kuna uvumi eti hizi ni pesa za mafisadi wamezificha huku kwenye lain zetu,coz hii ni kwa lain zote za vodacom,wataalam shuken mtujuze maana tusije ingia mkenge.