Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Kumbe waliotapeliwa ni wengi? Tatizo la watz walio wengi wanapenda njia za mkato! Ndio maana ofisi zetu za serikali kuna ufisadi mdogomdogo mwingi, zinaitwa dili! Mtu akionekana mwadilifu atapigwa vita mpaka anaweza kuacha kazi! Hawa waliotapeliwa wote ni wapenda njia za mkato na kama wameajiriwa wako likely kuwa wanafanya ufisadi!