mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
Jamani hivi mbona mimi sijaona umuhimu wa zoezi la usajiri wa namba za simu? manake kila kukicha watu wanatapeliwa, wanaibiwa tu bila wahusika kukamatwa? Hii wizara ya kina makamba na tume ya mawasiliano, police n.k wameshindwa kudhibiti huu utapeli/wizi? mbona tuliambiwa usajili wa simu unalenga kudhibiti vitendo hivi pamoja na hayo mambo sijui ya kutukanana kwenye simu, kutumiana sms za matusi na vitisho n.k?
mods sijui kama nimepost jukwaa husika, mkiona vipi mnaweza kuhamisha
mods sijui kama nimepost jukwaa husika, mkiona vipi mnaweza kuhamisha