Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Utakuwa unasikiliza kipindi kwenye radio (kama clouds fm, bbc n.k) na mtangazaji anakuomba uchangie maoni kwa kutuma sms, unafanya hivo mapema na mtandao unakutaarifu kuwa ujumbe wako umepokelewa. Ajabu mpaka kipindi hicho kinaisha mtangazaji ana soma kidogo sana ujumbe, si wako au hasomi kabisa ujumbe wa msikilizaji.
Sasa najiuliza hii si kama utapeli wa kujipatia mapato kupitia sms ni nini?
Sasa najiuliza hii si kama utapeli wa kujipatia mapato kupitia sms ni nini?