Spanish lady mbona mimi siku zileee hukuniuliza kama nitakuoa au nataka kukuchezea ? au uso wangu unaaminika ?
talaka zile za utotoni mlipokuwa mkicheza baba na mama hazihesabiki sweety.
haaaaaaa! Usikute mimi ni kibibi nishapewa talaka mara 3. Shauri yako.
Hahaha! hiyo kali wajameni tena Schipol Airport one of the busiest in the world ? atasaini karatasi ngapi ? wanaume wenzangu bana we acha tu kuna mmoja bar nilimsikia akimdanganya binti eti ye haendagi benki meneja anamletea hela nyumbani,nikawaza hata Bakhresa na Manji hawaletewi home hahaha!sijawai kukutana na swaga ya ivo. Mimi huwa nakutana na zile ooh mimi ndo huwa nasaini ndege zinaruka pale amterdam bila saini yangu hamna safari ,nk
ahaa mr husninyo bwana hizo ndo swaga za ukweli kuoa si issue maana wanawake wenyewe kuolewa hawataki hatahahaha! Hiyo kali wajameni tena schipol airport one of the busiest in the world ? Atasaini karatasi ngapi ? Wanaume wenzangu bana we acha tu kuna mmoja bar nilimsikia akimdanganya binti eti ye haendagi benki meneja anamletea hela nyumbani,nikawaza hata bakhresa na manji hawaletewi home hahaha!
Ni vigumu kwa mtu muongo kuuona ukweli, kwa kuwa wao wamezoea kudanganya na ndio maana inakuwa ni vigumu kwao kuuona uongo hata ule mweupe.
Ushauri: wanasema , ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo, kama mwanamke anataka kuolewa hana sababu ya kuuliza juu ya jambo hilo, ni kuboresha tu uhusiano, na mwanaume atajipeleka mwenyewe kutoa posa.........
kumbe mnapenda kudanganywaaaaa eeee!ahaa mr husninyo bwana hizo ndo swaga za ukweli kuoa si issue maana wanawake wenyewe kuolewa hawataki hata
Mara nyingi ukimtaka msichana kimahusiano ya kimapenzi huuliza UTANIOA au unataka kunichezea tu? kwa mfano msichana kama huyo ukimwambia ndiyo nitakuoa halafu ukishamaliza mambo yako ukasepa,kunamadhara gani katika future yako?
acha uongo. Mi binafsi mtu akija na gia za ndoa ananichefua, haiwezekani watu hamjafahamiana uanze kutangaza ndoa.
acha uongo. Mi binafsi mtu akija na gia za ndoa ananichefua, haiwezekani watu hamjafahamiana uanze kutangaza ndoa.
mwanamke anataka maneno matamu, namaneno matamu huyapati mpaka uchanganye nauongo, ataww mbona unadanganyika2, kamawe niwa kike lazima udanganywe2 we hupendi kubembelezwa?
tatizo ni kwamba ukiwaambia ukweli wanadhani ni uongo na uongo ndo huchukua kua ukweli
hapo umenena, utakuta mtu kakomaa kabisa eti nioe, huku akiwa hafany lolote ktk kuboresha uhusiano...lol
Yeah, ni sawa kiasi but uhusiano unaboreshwa na kila mmoja wenu, sio unakuta your girl anakucare, we unachodo kila mara ni kumpiga na kumtukana, huo uhusiano hautadumu, akimpata anayemjali vya kutosha huna chako