Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
ah aha ha ha ahaha haha hahh sijui unajua nguo ya kuazima..... sasa hawa ati wakiona wageni wanawapigia ngoma za asili, wana tofauti gani na bongo fleva hawa? FP na snowhite si bora muimbe tu za hao wageni?Sasa kimbembe unavaa hizo yunifom za wanafunzi au askari wa kikoloni halafu umepiga komoni au chimpumu, ukipiga mieleka kwenye tope usmati wote wa kingoni chalii
Last edited by a moderator: