Utani wa jadi wa makabila: Unauonaje?

utanashati ndugu yangu.
ukiangalia shati kola yote imeisha lakini whiteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

ah ha hah ha hahah utanshati wa kufundishwa na mzungu halafu eti waita utamaduni?? au ndio mlivyotoka navyo kule mlikofukuzwa na kina mandela?
 
ah ha hah ha hahah utanshati wa kufundishwa na mzungu halafu eti waita utamaduni?? au ndio mlivyotoka navyo kule mlikofukuzwa na kina mandela?
tulifukuzwa wapi? tulikuja kuwaandalia makao. huoni ukombozi wao umetokea huku? unafikiri kosa sisi ndugu zao wangeingiaje huku? akini kukichwa...............
 
tulifukuzwa wapi? tulikuja kuwaandalia makao. huoni ukombozi wao umetokea huku? unafikiri kosa sisi ndugu zao wangeingiaje huku? akini kukichwa...............


yaani hapa nasubiri tu wazanzibari wakishajitoa kwenye Muungano naanza kuandamana wangoni wote warudi kwao.... halafu laiti ungekuwa upo enzi za shaka zulu ndio ungenielewa..... na mshukuruni sana jirani yangu Nyerere..... aliwasaidia sana nyie la sivyo....
 
yaani hapa nasubiri tu wazanzibari wakishajitoa kwenye Muungano naanza kuandamana wangoni wote warudi kwao.... halafu laiti ungekuwa upo enzi za shaka zulu ndio ungenielewa..... na mshukuruni sana jirani yangu Nyerere..... aliwasaidia sana nyie la sivyo....
ha haaaaaaaaaaaaaaa, mkitufukuza na mimi nitaandamana tufanyiwe DNA TZ nzima kujua wangoni........... kama hamjatimua nusu ya raia wa TZ
 
hivi nyi si ndio wale mnatuchekesha na kudai ati ngoma zenu za asili huwa mnacheza na shat jeupe, tai viatu vimepigwa kiwi, soksi nyeupe na bukta nyeupe au khaki? hivi mko sawa kweli nyie?

sasa hapo tunacheza ngoma ndo tunavaa hivo,hujawahi kuwa curious na kuuliza tukienda harusini tunavaaje!pana chezeya kabisa wazee wa lizombe,mganda,kioda!
 
yaani hapa nasubiri tu wazanzibari wakishajitoa kwenye Muungano naanza kuandamana wangoni wote warudi kwao.... halafu laiti ungekuwa upo enzi za shaka zulu ndio ungenielewa..... na mshukuruni sana jirani yangu Nyerere..... aliwasaidia sana nyie la sivyo....

Warudi kwao sauzi.....wakapige Umkhomboti
 
sasa hapo tunacheza ngoma ndo tunavaa hivo,hujawahi kuwa curious na kuuliza tukienda harusini tunavaaje!pana chezeya kabisa wazee wa lizombe,mganda,kioda!

khah asiyejua ndio atadhani mnalipuka kweli kweli, laiti angejua harusini mnaenda peku peku, huku mmejifunga makokwa ya maembe na kucheza ngoma mnaiita lizombe, yaani bora hata mngeendelea na mavazi yenu ya mganda!!
 
ha haaaaaaaaaaaaaaa, mkitufukuza na mimi nitaandamana tufanyiwe DNA TZ nzima kujua wangoni........... kama hamjatimua nusu ya raia wa TZ

hapa naweza kukubishia mpaka asubuhi!! wasukuma wana occupy mikoa mitano sasa, nyinyi ni baadhi ya viwilaya vya kijimkoa kidoooogo cha ruvuma..... halafu kule kwenu kuna sehemu karibu mpakani na Msumbiji kuna wasukuma wamekuja kuchimba madini maana nyie vya kwenu vinaliwa na makaburu na sisi tunakuja kuchukua vyetu huko kwenu...... aha ha ah aha ha ah makabila mengine presha tuuu!!!
 
khah asiyejua ndio atadhani mnalipuka kweli kweli, laiti angejua harusini mnaenda peku peku, huku mmejifunga makokwa ya maembe na kucheza ngoma mnaiita lizombe, yaani bora hata mngeendelea na mavazi yenu ya mganda!!

Sasa kimbembe unavaa hizo yunifom za wanafunzi au askari wa kikoloni halafu umepiga komoni au chimpumu, ukipiga mieleka kwenye tope usmati wote wa kingoni chalii
 
Hii nchi yetu bana wengine copy tu

umeona eee!! nilienda sehemu moja huko makete ndani ndani kabisa nikakuta wasukuma lakini hawa waoga waliokimbia kwao ukitoka songea ni wa kuhesabu...... halafu FP naomba unisaidie hivi ni uoga wenu wa wanyama ama uroho ndio maana majina yenu mengi ni ya wanyama? Mapunda, Komba, Mbawala etc nahisi hata wewe waweza kuwa Fuko Pundamilia!!! (FP).....lol
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom