Aisee subiri maneno machafu kwa washabiki wa mnyama aliyechini, na pongezi na vicheko kwa mnyama aliye juu.
Mimi manchester!!manchechaaaaaa!!huu ndio utani wa ngumi sasa mm ni Arsenal, mmmhhhh uliwaza nn hadi ufanye haya?
ndio maana ngumi ni muhimu sometimes michezoni, inaleta nidhamu bana, roho inaniuma kaaaaaahhhhh, the Gunners hawawezi kufanyiwa hivi
he he he.....daaaah.....tih tih tih......yaani Man U.....Arsenal.....haiwezekani....huu utani mbaya bana