Elections 2010 Utangazaji wa matokeo ya uchaguzi mkuu tanzania

Kila kinawezekana sema ndio watu wanaangalia maslahi yao bila kujali chochote kile.


moto waliona ulivyoanza toka mwanzo jinsi wananchi walivyo amka lakini wakadharua na matusi juu .walikuwa wanaita makelele ya mtandao na sasa matokeo yanakuja wanapata kigugumizi.
 
The fact is that what is happening with the National electoral committee is a deliberate plan to cheat the world.
The votes they are reading does not match that recorded at poll centers which most of us saw. We are heading towards a situation similar to that of Kenya where their electoral body led the country into chaos and catastrophe. I still wonder whether such act does not amount to treason or a coup as a clique of corrupt people plan and eventually execute toppling the peoples choice for theirs. The worst is that such heinous crime is never challengable by any court in this land.
Can the international community intervene please?
 
Sijui watamaliza lini kusoma hayo matokeo kwenye hivyo vijikaratasi
 
Nimevumilia weee lakini nimeshindwa. Sasa inabidi niseme nitoe dukuduku langu. Sisi miafrika tuko mijitu ya ajabu sana. Kamwe hatuwezi kuendelea. Kuliangalia lichakachuaji in charge (lewis makame) likisoma matokeo ya uchaguzi kwenye kikaratasi ni sawa na kuangalia rangi iliyopakwa ukutani kukauka i.e.boooring. Hivi kweli hatuwezi kuwekeza kwenye mfumo na utaratibu ulio bora na wenye ufanisi ktk kutangaza matokeo ya uchaguzi? Yaani hata hilo litushinde? Marekani jana walikuwa na congressional elections lakini tayari kitu na boksi. Brasil tayari wana raisi mteule. Sisi bado tunasoma matokeo kwenye vijikaratasi. Smdh

Kaka hiyo ndo tofauti kubwa kati ya Mzungu na mtu weusi,tukiitwa wajinga tunalalamika.Yaani haingii akilini,unaiba kura kwa maslahi ya nani?Ukawaongoze kina nani ili hali wamekukataa.Vote maana yake ni punishment kwa viongozi wabovu,sasa kama tunaitumia hiyo fimbo kuwadhibu wasiofaa baadae wanageuza matokeo,ni uhuni.Nimeamini kuwa democracy and development ni vitu inavyoendana,huwezi kuwa kuendelea kama hakuna demokrasia.Tanzania tuna demokrasia bandia,na ndio sisi ni maskini wa kutupwa.Watanzania amkeni demokrasia haiji kwa kutegemea wahisani ni sisi wenyewe.
 
Mimi jumapili nilitabiri kuwa haya matokeo ya uraisi tunaweza tusiyajue hadi ijumaa nikaambiwa tutayajua jumanne na leo ni alhamisi na hakuna kitu. Makame ataendelea kusoma kwenye vijikaratasi vyake
 
halafu eti kuna watu wanadiriki kusema 'bongo nyu yoki'. Sina hakika wanatumia vigezo gani. Labda vi fast food joints na vi burger joints lol. Kuna kipindi nilionaga subway hapa bongo. Sijui bado ipo ile
ha ha ha ha!
bongo haitakaa iwe nyu yoki CHINI YA JUA......!

we ngabu hebuturudishie lile li-signecha lako bana
 
Halafu tukiambia akili zatu waafrika zina kasoro tunapiga keleeeele. Hebu fikiria siku ya Jumatatu, Siku ya kwanza kabisa ya kutoa matokeo ya Uchaguzi. Mheshimiwa sana Makame anatangaza kufunga kituo cha kutolea matangazo saa Kumi na kwamba kitafunguliwa tena Saa TANO KESHO YAKE wakati ilitakiwa kituo hicho kiwe wazi MASAA 24 kupokea na kutangaza papo hapo kila taarifa inayoingia!! Niliona kabisa sura za baadhi ya waangalizi na waandishi wa habari wa nje zikiwa na alama ya kuuliza!
 
hizo tv ovyo kabisa

wameshindwa hata kutuwekea map iliyogawiwa kwa majimbo, na kutuwekea rangi ya chama kila jimbo linapochukuliwa? tv sawa na redio tu.....:(
 
Nimevumilia weee lakini nimeshindwa. Sasa inabidi niseme nitoe dukuduku langu. Sisi miafrika tuko mijitu ya ajabu sana. Kamwe hatuwezi kuendelea. Kuliangalia lichakachuaji in charge (lewis makame) likisoma matokeo ya uchaguzi kwenye kikaratasi ni sawa na kuangalia rangi iliyopakwa ukutani kukauka i.e.boooring. Hivi kweli hatuwezi kuwekeza kwenye mfumo na utaratibu ulio bora na wenye ufanisi ktk kutangaza matokeo ya uchaguzi? Yaani hata hilo litushinde? Marekani jana walikuwa na congressional elections lakini tayari kitu na boksi. Brasil tayari wana raisi mteule. Sisi bado tunasoma matokeo kwenye vijikaratasi. Smdh
NN.... kwakweli kinachofanyika sasa ni very ancient!!! Huwezi amini kiongozi wetu ndio yule kwenye kampeni alikua anarefer marekani, wazugnu, wazungu wazungu wakati anaongoza timu zinazofanya mambo kikwere

haingii akilini rais anahubiri daktari wa marekani kufanya surgery na dr wa bongo wakati kuhesabu vipande vya karatasi millioni kadhaa vinamtoa kamasi... na si kwamba anahesabu mtu mmoja, hapana kuna mawakala nchi nzima na kazi iliiisha usiku wa jumapili

haingii akilini mtu niliyemheshimu kama mwenye mawazo ya kileo, anafikia hatua ya kulifyanya taifa kama vimbwenelehi

kweli wanasema all african prsident dont have exit plans.... i can confirm that one and i will tell my gerat grand children, through writing

Inshallah
 
Hivi wamefikia wapi ktk kutangaza hayo matokeo ya uraisi? Au na nyinyi mmeshaacha kufuatilia kama mimi nilivyofanya?
 
Back
Top Bottom