Siku zote najua wewe mwanamke kumbe dume
JF noma i see
Heshima haiuzwiNa Wewe unakutokaga nini?
wakati wa kufanya na unaongezeka kadri msuguano unavyoongezeka unaweza ukahisi umewekahuo utando unakuwa wapi???
Heshima haiuzwi
Hakuna jipya chini ya jua.Anaehukumu mungu tu.Nashukuru mana umeudhihirishia umma wa jf how malaya you are.
Hope umesema bayana jambo ili umejaribu kwa kux tofautitofauti.
Nakutakia uchunguzi mwema.
Nilikuwa najua ivoivo ila kuna siku nikamwambia we mwananamke tulia,akawa pilipili.
Ukiwa CCM lazima uwe na akili za Maiti!!!!Hajakosea jina lako hilo Zubeda Mchuzi na avatar hilo jina la Zubeda tumezoea kusikia akina dada wakiitwa sasa wewe mwenzetu unajiita hivyo kwa lengo gani?
Napenda kuuliza kama ni kweli ili nawengine mkalifatilie hili.
Kwa maelezo hayo sasa nyie wenye wake wapenzi mlifatilie hili.Unapokaa mbali na mkeo au Rafiki yako wa kike kama atakuwa hatoki nje ya Mahusiano Lazima hao UTANDO UWAKUTE kwa wingi sana.yani hata mkipotezana week/mwezi.Lakini usipo ona hayo ujue Alikuwa anatoka nje ya mahusiano yenu.
Mytake@Na wewe fatilia mimi nimelifatilia na nimejiridhisha kuwa ni kweli kwa Upande wangu.
Ukiwa CCM lazima uwe na akili za Maiti!!!!
STUKA!!!:yawn::yawn:
We dume? ........ dah.
Yap mzima kabisa
tumia jina la kiume basi kakaKwani anaejiita njiwa yeye ndege.
Kwani anaejiita kongosho yeye ni kongosho
Kwan we ni default kweli.
Hakuna anaenipangia kwa hilo...changia mada then Sepa.
Wote humu mna ID za uongo na Picha za Uongo.we kwangu Ndo unaona pa kuuliza na mapovu juu.