Loyal_Merchant
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 623
- 267
Ningependa kujua mwanaume anajudgiwa vipi na mwanamke kwamba ni mtanashati(handsome).
Lizzy pochi manyoya au pochi ipi???Uvaaji....uongeaji....pochi kwa wengine....uongeaji.....
Dah!!! Nimepita mtihanimwenye umbo,sura nzuri,msafi na anayejua kujiweka smart.....!!!
Kitandani tu ndo mambo yote ha ha ha
Natamani nikuone, Tafadhali kama umeridhia ni PM.
Natamani nikuone, Tafadhali kama umeridhia ni PM.
Uume wake!
Dah!!! Nimepita mtihani
Say what??
This is JF . . .