Utamwambia nini Rais JK?

He needs to be principled and up held rules of Good Governess and avoid to use his personel intuitions to guide his dudgement in matters of national interests
 
Mh. Jakaya Kikwete, CCM kujivua gamba, suala lisiwe kujisafisha tu bali kuleta maendeleo kwa wananchi

*Kama ni kweli kauli yako kuhusu kujivua gamba kama nyoka ulimaanisha CCM ni kama nyoka, ujumbe huo
utakuwa na maana kuwa tumeshang'atwa sana na nyoka (CCM) huyu na sasa utakuwa umetambua kile
kinacholalamikiwa muda mrefu na wananchi kuhusu IPTL, Deep Green, Meremeta, Richmond/DOWANS, EPA na
mengine kibao. Hivyo gamba jipya litusaidie kumwona nyoka huyo hata kama atajificha gizani.

*Kama kweli wewe na Chama Cha Mapinduzi mna nia ya dhati kujivua gamba na kuwatumikia wananchi,
mnapaswa muanze sasa kuwekeza katika kuhakikisha kunakuwepo uwiano sawa kwenye mgawanyo wa rasilimali
ili kwenda sawa na kaulimbiu yako ya “Maisha bora kwa kila Mtanzania”.

*Najua unalewa kuwa asilimia kubwa ya wananchi wa Tanzania wanaishi vijijini kwa kutegemea jembe la mkono,
kipato wanachopata kutokana na kilimo cha aina hiyo hakiwasaidii kukidhi mahitaji yao muhimu ya kila siku. Ile kauli
ya mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe ingekuwa na ukweli, wananchi wa Tanzania wangekuwa matajiri.

*Rais, wananchi wanalalamika kuwa wakija mijini hali bado ni ngumu wakati nyinyi tuliowapa dhamana ya kuweka
mazingira hayo mmelala usingizi na kufikiria jinsi ya kutengeneza mikataba feki ili mchote fungu mnaloliona lipo 'idle' .

*Ni wakati sasa uelewe kuwa Watanzania siyo wavivu kama unavyofikiria, uchumi siyo kutoa takwimu tu bali
kuwawezesha Watanzania kuwa na matumaini ya kuuza mazao yao kwa wakati kutoka mashambani. Kwa hiyo kujivua
gamba kwa chama chako kusiishie kwenye kubadilisha uongozi tu, unapaswa uyaone haya na kuyatekeleza kivitendo.

Naomba kuwasilisha...
Kaka dakika mbili zingeisha hata hujamaliza. Inatakiwa sentesi fupi yenye ujumbe mzito
 
nikikutana na jk nitafurahi sana kwani nitajua mungu kasikia kilio chetu kaamua kumleta tena duniani kuja kumpa displini ****** na serikali yake ya kifisadi.
 
Ningekutana nae kitu ambacho ningemwambia aamke afuatilie mambo mengi yeye kwa kina zaidi. Aondoe visasi na awe mwepesi wa kufuatilia mambo anapoyasikia hata kwenye vyombo vya habari, au malalamiko yanapozidi. Asiamini sana hizi kamati zinazoundwa, hizi kamati ni rushwa imezidi na kulindana. Awe ni wakwanza kupata taarifa kabla kamati haija mpelekea ripoti. Akiunda kamati aiache huru asitoe maoni hiyo kamati itoe maoni kutokana na sheria. Aaache mambo ya mzeee unajua o nilikosea, o walinishauri vibaya hayo ni baadaebaada ya kwenda likizo au kufukuzwa.

La pili aache ushabiki wa kipumbavu aitumie Jf sana katika kujua hali ya watanzania. Hapa kuna watu pande zote na wanatoa maoni na wanatumia sheria kupambanua jambo. Atumie ID hapa JF kila mtu aijue watu wakitaka kujua au kupata ufafanuzi wa kitu fulani au yeye akitaka kujua uhakika wa jambo hapa watu wanamwaga kama chemchem. Na hapo atawajua vilaza alionao huko serikalini.

Yeye najua hana majibu zaidi ya watendaji wake na wao wawehapa ili kujibu hoja nzito zinapotokea na yeye aone majibu yenyewe. Aondoe hii tabia ya siri za serikali kwa wananchi. Tunajua mambo ya siri niyakihalifu kama serikali yake niya kihalifu atuambie.
 
Dk2 ni nzuri km ningemwambia Rais, matatizo ya nchi yetu usisha pia wataalamu wasio wanasiasa, hautopunguza hadhi yako wala ya viongozi wenzako, nchi ina gape, mambo mengi ni siasa mno!
 
Sababu jamaa anapenda kuchekacheka mi nitamchekesha tu ili hizo dakika mbili ziishe, kwa sababu jamaa haambiliki yule hata utumie risasi ya moto, laiti angekuwa anashaurika kusingekuwa na haja hata ya mimi kupewa hizo dakika mbili kwa sababu kitu ninachotaka kumwambia tayari kimesemwa sana na nadhani ameshasikia kama si kuambiwa
 
Dk2 ni nzuri km ningemwambia Rais, matatizo ya nchi yetu usisha pia wataalamu wasio wanasiasa, hautopunguza hadhi yako wala ya viongozi wenzako, nchi ina gape, mambo mengi ni siasa mno!
 
Political deadlock ipo very near na itakula kwake! Apunguz masihala na Afanye maamuzi sasa! AKILI ZA KUAMBIWA ACHANGANYE NA ZAKE teh!
 
Mwana fikra pevu!! Assume umepata nafasi ya kukutana na Rais Jakaya Kikwete faragha na umepewa dakika mbili tu za kuongea nae. Ni kitu gani utapenda kumwambia kwa maslahi ya Umma wa Tanzania??
Ningemuuliza mambo mawili...........

1. Katika ahadi zako zote zaidi ya tisini ulizotoa wakati wa kapeni ngapi umeshazitimiza...??? Maana mwaka unakaribia kwisha toka uchaguliwe na ahadi zilizokamilika inabidi ziwe zimeshafika 15


2. Hivi unafahamu ahadi ulizotoa wakati wa uchaqguzi zina gharama kiasi gani...??

3. Hivi Kati ya wewe, Luhanjo na wziri mkuu nani mwenye uwezo wa kumsimamisha kazi Jairo wa SHIRIKA LA GIZA.... na MADINI
 
nitamwambia anatutia watanzania aibu!!! Ajiuzulu haraka sana, tena asahau kama alishakuwa raisi.
Kwani serikali yake imegeuka kuwa ze comedy, shit im so mad at this govt.
 
Ningemuomba aiite tena tume ya uchaguzi na kuilazimisha imtangaze mshindi wa kweli wa urais 2010.
Baada ya hapo ningemuongoza sala ya toba.
 
ningemwambia watu wanakutania hivi mkuu wa nchi " palitokea mkutano wa madaktari bingwa dunianikutoka nchi tatu,China, Ugerumani na Tanzania. Wakawa wanajadili mafanikia yaliyofanywa na ktk nchi zao. Mchina akaanza, kwetu alizaliwa mtoto hana mikono tukamwekea wa bandia na sasa ni mpiganaji wa karate. Mjerumani... hiyo kidogo kwetu alizaliwa msichana hana miguu yote tukamwekea ya bandia na sasa ni mkimbiaji olimpiki na ana medali 3 za dhahabu. Mtanzania......., akacheka akasema kwenu bado hamjafikia kiwango rekodi yetu, sisi hapa bagamoyo alizaliwa mtot hana kichwa tukamwekea Nazi na sasa ni RAISI"

Unamaanisha kama huyu hapa mkuu? maana ndo jamii yenyewe.

164131_173238236053214_100001011158863_361312_7423904_n.jpg
 
Mwana fikra pevu!! Assume umepata nafasi ya kukutana na Rais Jakaya Kikwete faragha na umepewa dakika mbili tu za kuongea nae. Ni kitu gani utapenda kumwambia kwa maslahi ya Umma wa Tanzania??
<br />
<br />
nitamwambia aache kuwaza kwa kutumia makab... Sorry, masaburi yake
 
Kikwete, tonge ulilokata toka elf2 na tano umeshindwa kulimeza hadi sasa.
Achia wanaume wanaojua kupiga matonge, ondoka taratibu ukisingizia ule ugonjwa wako wa ***** unaukofanya uanguke kila mara.
 
Mwizi ambaye haoni aibu! Hajui kwa nini aliiba kura za u-rais Ajiuzulu kabla hayajampata yanayomkumba Gadafi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom