ningemwangalia kwa macho makavu dakika 5 bila kuongea chochote then naondoka zangu.Mwana fikra pevu!! Assume umepata nafasi ya kukutana na Rais Jakaya Kikwete faragha na umepewa dakika mbili tu za kuongea nae. Ni kitu gani utapenda kumwambia kwa maslahi ya Umma wa Tanzania??
vunja baraza la mawaziri, unda upya kama umejifunza kitu katika udhaifu walioonesha. Ngeleja afunguliwe mashataka
mie ningepewa dakika 2 tu za kukaa naye .............ngoja nisiseme, nina hasira naye.
Mgosi punguza hasira mambie tu hufai !
jiuzuluitishauchaguzihamaTanzaniarudishamalizetuondokanaweziwotenawarudishemalizetukablayahayotuombemsahamakwakutudanganyanakutujeruhikiasiwatuwamepotezauzalendoMwana fikra pevu!! Assume umepata nafasi ya kukutana na Rais Jakaya Kikwete faragha na umepewa dakika mbili tu za kuongea nae. Ni kitu gani utapenda kumwambia kwa maslahi ya Umma wa Tanzania??