Eliza wa Tegeta
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 251
- 108
Ukimpata asiye na hsida kama wangu si ndo utamtaifisha uende nae Eritrea kabisa wewe!!
sio mimi eliza wangu mimi vitu used huwa sigusi kamwe.kwanza waume wa watu wana dhiki na matatizo balaa mara oooh mama mkwe mgonjwa,watoto shule ,shemeji ada.mdogo wangu mgonjwa
mikopo kila mahali
aku babu