Utamtambuaje muathirika wa UKIMWI kwa kumwangalia?

God'sBeliever

JF-Expert Member
Sep 1, 2015
5,790
3,020
Leo nataka tufahamu namna ya kuwatambua waadhirika wa ukimwi kwa nje mfano huwa wanakonda, kikohozi kisichokua n kikomo hata nywele kubadilika hata hawa wanaotumia ARVs. huwa ngozi inabadilika japo wanabaki wanene pia vidonda na mabaka kibao.

Hii ni njia awali kabisa ya kumhisi mtu mwathirika ukimwi ila sio ya uhakika wengine wanazaliwa navyo na wako active dalili zinaluja kuonekana after 20yrs+... pia kuna type yawatu ambao hawapati ukimwi hata walale n waathirika wngapi BUT vijidudu vinakua mwilini vina flow hata wakipimwa havionekani so kuna kua hamna reaction kati ya damu na virus kwa kitalaamu nimesahau majina ya hawa watu. hivyo wapendwa tusali sana kwani dunia ngumu Mungu na atulinde kwa kweli na vipimo vyetu huonyesha majibu baada ya miezi mi3 na zaid depending on body immunity ya mtu hapa nako panahitaji maombi na ulinzi wa Mungu.

Hivyo wapendwa natamani tuelimishane pia tuwasaidie na jamii inayotuzunguka kwa kutumia huu uzi. Madaktari, wataalamu mbali mbali na walioyaona haya tupeni utaalamu. vizazi vingi vimepotea kaburini sababu ya vitu vyetu pendwa (mapenzi/mahaba) yanjngono inayosambaza Ukimwi na kuchangia damu.
natanguliza shukrani
 
Njia rahisi ni kwa kwenda nae AMREF ndugu yangu. Waathirika wa Ugonjwa huu sikuhiz sio rahisi kuwatambua kwa macho,coz ni wazuri wamenenepa na wanajipenda . Be careful. And never judge a book by its cover.
 
HIV is virology huwezi kuwa na maambukizi wadudu wasionekane, kuna wanaopata maambukizi lakini immune system yao ni nzuri kiasi cha kuweza kucontrol virus. That means viral load wako ditectable lakini hawana uwezo wa kuaffect CD4 in a way ukose kinga mwilini.
Huwezi kumtambua mgonjwa, ni vizuri kuacha tabia ya kupenda ngono zembe, ukikutana na mwenza mnaeaminiana mkapime wote wawili. Kuambukizwa UKIMWI ni kilema cha maisha ambacho unakipata in less than five minutes pleasure.
 
HIV is virology huwezi kuwa na maambukizi wadudu wasionekane, kuna wanaopata maambukizi lakini immune system yao ni nzuri kiasi cha kuweza kucontrol virus. That means viral load wako ditectable lakini hawana uwezo wa kuaffect CD4 in a way ukose kinga mwilini.
Huwezi kumtambua mgonjwa, ni vizuri kuacha tabia ya kupenda ngono zembe, ukikutana na mwenza mnaeaminiana mkapime wote wawili. Kuambukizwa UKIMWI ni kilema cha maisha ambacho unakipata in less than five minutes pleasure.
Asante daktari Sky Eclat.
 
Wanawake wanakuwa na mahips makubwa.....na makalio yaliyobinuka kidogo.....

Wanaume wanakuwa wanapenda kuvaa mavazi ya kuvutia na kuendesha magari ya kifahari huku wakiwa na matumizi mabaya ya pesa kwenye manunuzi yao.....

khaaaah!! we hebu acha balaa!
 
"Utamtambuaje muathirika wa ukimwi kwa kumwangalia"

Swali lako zuri sana ila majibu ya wadau ndiyo sheeeedar!!
 
Back
Top Bottom