wewe kaka Benard umeoa ila mkeo anasoma chuo kimoja mkoani. Nyumba unayoishi ni apartment ambayo upande wa pili unashea na dada mmoja ambaye kama bahati mnafanya kazi pamoja na hata wakati wa uwepo wa mkeo mmekuwa mkijumuika pamoja.
Huyo dada nae kwa upande wake amekuwa huru sana kwako kiasi kwamba hata yale masuala yake nyeti zaidi amekuwa akikushirikisha ingawa mwanzo ulishtuka ila badae ulizoea hiyo hali na mkeo hukumwambia uwazi huo!
Inapokaribia likizo ya mkeo huyo dada ktk mazungumzo yenu anakuambia anasumbuliwj na U.T.I
Nawe siku ktk mazungumzo na mkeo unajikuta umeropoka kuwa huyo jirani yako wa kike ana U.T.I!
mkeo anakuja juu ila wajitahidi kumuelewesha hadi anaelewa na yanaisha.
mkeo baada ya kurudi likizo wiki moja mbele unaanza jisikia vibaya.
mnaenda hospital na vipimo vinaonesha unasumbuliwa na U.T.I !!
Mkeo anakuja juu kwamba unatembea na huyo dada jirani coz hakuna sehemu nyingine unawezapata huo ugonjwa ukiangalia na biological make up za mwanaume,kama ni choo kila mtu anacho cha kwake,so there's no way out isipokuwa umetembea nae!
ukweli ni kwamba hukuwahi hata kufikiria kutembea na huyo dada!
je utamshawishi vipi mkeo akuelewe?
Huyo dada nae kwa upande wake amekuwa huru sana kwako kiasi kwamba hata yale masuala yake nyeti zaidi amekuwa akikushirikisha ingawa mwanzo ulishtuka ila badae ulizoea hiyo hali na mkeo hukumwambia uwazi huo!
Inapokaribia likizo ya mkeo huyo dada ktk mazungumzo yenu anakuambia anasumbuliwj na U.T.I
Nawe siku ktk mazungumzo na mkeo unajikuta umeropoka kuwa huyo jirani yako wa kike ana U.T.I!
mkeo anakuja juu ila wajitahidi kumuelewesha hadi anaelewa na yanaisha.
mkeo baada ya kurudi likizo wiki moja mbele unaanza jisikia vibaya.
mnaenda hospital na vipimo vinaonesha unasumbuliwa na U.T.I !!
Mkeo anakuja juu kwamba unatembea na huyo dada jirani coz hakuna sehemu nyingine unawezapata huo ugonjwa ukiangalia na biological make up za mwanaume,kama ni choo kila mtu anacho cha kwake,so there's no way out isipokuwa umetembea nae!
ukweli ni kwamba hukuwahi hata kufikiria kutembea na huyo dada!
je utamshawishi vipi mkeo akuelewe?