Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Unakuta unachat na mpenzi wako kila siku kwenye social network kama hii,facebook,my space e.t.c,but mwenzako anaunda account fake na kuanza kukutongoza upya ili ajue to kama una msimamo.Baadaye unajikuta umetegeka na unakuja kugundua ndo yeye.
nani hapo mwenye kosa?je utamfanyeje?
nani hapo mwenye kosa?je utamfanyeje?