FAMILY LAW
Member
- Jul 14, 2012
- 53
- 10
Heshima kwenu wadau..mimi nimekua mgeni kwa mda mrf bila kua na account ila kwa sasa nimeamua kua mdau naombeni malezi yenu na ninapokosea mnikosoe na sio kunitukana kwa kua watu wengine ni wakali sana...shukrani,.. smile ,preta, mwali ni majina niliyoyakariri mda mrf sana.