Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Nasikiliza dada mmoja clouds anasema anaomba msaada atambadilishaje mwenzie mbaili kama nini
ingawa analipwa hela nzuri tu lakini siku mkienda outing utashangaa anaanza am broke am broke today yaani ndio
wimbo wake w outing mwisho mkiletew bili anasema nalipia nyma we lipia vinywaji.....duhh si mchezo starehe garama
najua mko wengi humu jf wa diazini hii pengine si wewe basi mumeo ama jamaa yako amekuwa na mazoe ya kubana sana ingawa uzoefu unaonyesha anapobana kuna mtu anaziachia kwakwe..sisemi umwache la hasha leo nimekuja na wazo la tutawasaidiaje watu wa jinsia hii...unajua ni raisi kumbadilisha mwizi akawa malaika lakini sio mwanaume mbaili
na nyie wanwake umekwenda outing na jamaa zaiidi ya mara tano hali yake hiyo hiyo siku ukivuliwa nguo kwa deni la bia utamlilia nani??embu jueni jinsi ya kuishi na wanaume zanu sio kila s iku outing..pengine mwanaume anasoma nyakati huyu ashazoe jumamosi ni matumizi kumbuka kanisani kuna
---zaka
---sadaka za jengo
--sadaka za emergency
--sikuhizi kuna dhabihu unatoa ile unayoumia moyoni
---sadaka za ...zote hizi anatakiwa atoe yeye we siku ya jumapili unafanya kukinga tu uulizi zile round zote unazoenda nae kutoa anatoa wapi pesa alaaahhhh embu tusaidien jamani wanaume atujaumbwa kutumika kama atm za crdb
--
ingawa analipwa hela nzuri tu lakini siku mkienda outing utashangaa anaanza am broke am broke today yaani ndio
wimbo wake w outing mwisho mkiletew bili anasema nalipia nyma we lipia vinywaji.....duhh si mchezo starehe garama
najua mko wengi humu jf wa diazini hii pengine si wewe basi mumeo ama jamaa yako amekuwa na mazoe ya kubana sana ingawa uzoefu unaonyesha anapobana kuna mtu anaziachia kwakwe..sisemi umwache la hasha leo nimekuja na wazo la tutawasaidiaje watu wa jinsia hii...unajua ni raisi kumbadilisha mwizi akawa malaika lakini sio mwanaume mbaili
na nyie wanwake umekwenda outing na jamaa zaiidi ya mara tano hali yake hiyo hiyo siku ukivuliwa nguo kwa deni la bia utamlilia nani??embu jueni jinsi ya kuishi na wanaume zanu sio kila s iku outing..pengine mwanaume anasoma nyakati huyu ashazoe jumamosi ni matumizi kumbuka kanisani kuna
---zaka
---sadaka za jengo
--sadaka za emergency
--sikuhizi kuna dhabihu unatoa ile unayoumia moyoni
---sadaka za ...zote hizi anatakiwa atoe yeye we siku ya jumapili unafanya kukinga tu uulizi zile round zote unazoenda nae kutoa anatoa wapi pesa alaaahhhh embu tusaidien jamani wanaume atujaumbwa kutumika kama atm za crdb
--