Inawezekana anafikiri anasoma vitabu kumbe anaangalia picha! Pengine anasoma hadithi za bulicheka.
naomba kujua faida ya kusoma vitabu kwa wingi,Rais wetu ni msomaji wa vitabu na tumeshuhudia hata kwenye mikutano mbalimbali jinsi anavyotulia na mavitabu yake kusubiri kukaribiswa kwa hotuba,vile vile tuliona kule marekani muda aliokaa kule week tatu muda mwingi alikuwa library akisoma na kubukua mavitabu mbalimbali,naomba kujua faida kwa mtu kama huyu ambaye nchi inamshinda kuendesha huku akijikita kwenye usomaji vitabu kwa wingi ina maana anachosoma hakimsaidii kufanya kazi zake??,kwa mimi ambaye sio msomaji wa vitabu kuna tofauti gani na msomaji vitabu??
naomba kujua faida ya kusoma vitabu kwa wingi,Rais wetu ni msomaji wa vitabu na tumeshuhudia hata kwenye mikutano mbalimbali jinsi anavyotulia na mavitabu yake kusubiri kukaribiswa kwa hotuba,vile vile tuliona kule marekani muda aliokaa kule week tatu muda mwingi alikuwa library akisoma na kubukua mavitabu mbalimbali,naomba kujua faida kwa mtu kama huyu ambaye nchi inamshinda kuendesha huku akijikita kwenye usomaji vitabu kwa wingi ina maana anachosoma hakimsaidii kufanya kazi zake??,kwa mimi ambaye sio msomaji wa vitabu kuna tofauti gani na msomaji vitabu??
Kikwete hawezi kusoma vitabu vya maana hana muda. Isitoshe hatavielewa.
Wanasiasa hawawezi kuandika vitabu kwani wana mengi ya kuficha na vitabu vitaibua maswali mengi.