Hapa ni mnara wa kuongozea meli uliopo katika ncha ya kisiwa cha Mafia
Mnara huu ulijengwa zaidi ya miaka mia moja iliyopita
Fukwe inayoonekana pembeni ndipo miili ya wahanga wa ajali ya ndege ya air france iliyokuwa ikitokea comoro ndipo ilipopatikana..
picha hii imepigwa kwa kutumia simu ya mkononi
hiyo misimba dume sio noma kama jike...si unaona hata hapo anatafuna kamnyama kadogo! usimbe kukutana na jike mwenye njaa
hiyo misimba dume sio noma kama jike...si unaona hata hapo anatafuna kamnyama kadogo! usimbe kukutana na jike mwenye njaa