Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Look a the transaction of selling drugs as a two way traffic.
Unauza dawa unapata fedha, mnunuzi anapata madawa anayatumia.
Madawa ya kulevya ni very addictive, watu wakiwa addicted wanageuka kuwa mzigo wa jamii.
Mwanzo unauza madawa kufanya watu wengine kuwa Mateja baada ya miaka 10 majirani marafiki na hat ndugu zako nao wanakuwa mateja mwishowe watoto au wajukuu zako wanakuwa mateja hapo ndipo utamu wa fedha za madawa hufikia kilele.
Kama wewe ni muuzaji pekee kwa miaka yote inaweza kuwa tatizo dogo.Lakini pale kundi kubwa la watu wakianza kuuza na kuitaka faida uipatayo ugomvi wa Market unazuka. Rule ya kuuza madawa duniani kote ni PROFIT BY ALL MEANS.
killing for profit huanza.
Serikali ya nchi ya Colombia ilisambaratika kwisha na Mamilioni ya wananchi wake kuuawa sababu kubwa ikiwa ni Biashara ya madawa ya kulevya.
Leo hii Mexico wanauana kama Kuku ili Ku control Masoko na route za kupelekamadawa nchni Marekani.
Biashara ya kuingiza madawa nchini Marekani ni ya $6,000,000,000,000.00 hiyo ni Billioni Sita sawa na
Tshs 9600,000,000,000,000 yaani 9.6 Trillioni.
Huko Columbia Watu wanang'a kahawa migomba na kupanda Mikoka mashamba ya mahindi nyanya na viazi mviringo nayo hubadirishwa na kuwa ya Mikoka. Uwezekano wa njaa ya kitaifa kuingia ni mkubwa.
Hebu Fikiria sisi kule kwetu Njombe na Mufindi tukiacha kulima Mahindi na kupand zao la GANJA itakuwaje??
The same way Mtu akituibia fedha za serikali say za Kukarabati Daraja la Malagalasi na kujengea hoteli ya nguvu Arusha. Siku Daraja likivunjika kwa Maintanance Mbovu hasara yake ni Uchumi kwa kanda nzima. hoteli ile iliyoko Arusha haiwezi saidi kuvusha watu kuja Dar mara daraja likibomoka.
KWa hiyo ukiuza madawa bila kuweka dhana ya madhara ya madawa kichwani mwako ni kweli hakuna matata.
Fedha siyo ukombozi wa matatizo fedha ni means tunayo tumia kuexchange value.
Value ya madawa ya kulevya kwa muuzaji ni Fedha aipatayo.'Value ya Madawa ya kulevya kwa mnunuzi ni kubwia na kuwa teja.
Uko Tayari watoto wako kuishi na kuchanganyikana na mateja??
Uko Tayari kuwa na jirani Teja??
Mateja wakichacha wanageuka wezi sugu wenye kutuia silaha kali waibapo.
Unauza dawa unapata fedha, mnunuzi anapata madawa anayatumia.
Madawa ya kulevya ni very addictive, watu wakiwa addicted wanageuka kuwa mzigo wa jamii.
Mwanzo unauza madawa kufanya watu wengine kuwa Mateja baada ya miaka 10 majirani marafiki na hat ndugu zako nao wanakuwa mateja mwishowe watoto au wajukuu zako wanakuwa mateja hapo ndipo utamu wa fedha za madawa hufikia kilele.
Kama wewe ni muuzaji pekee kwa miaka yote inaweza kuwa tatizo dogo.Lakini pale kundi kubwa la watu wakianza kuuza na kuitaka faida uipatayo ugomvi wa Market unazuka. Rule ya kuuza madawa duniani kote ni PROFIT BY ALL MEANS.
killing for profit huanza.
Serikali ya nchi ya Colombia ilisambaratika kwisha na Mamilioni ya wananchi wake kuuawa sababu kubwa ikiwa ni Biashara ya madawa ya kulevya.
Leo hii Mexico wanauana kama Kuku ili Ku control Masoko na route za kupelekamadawa nchni Marekani.
Biashara ya kuingiza madawa nchini Marekani ni ya $6,000,000,000,000.00 hiyo ni Billioni Sita sawa na
Tshs 9600,000,000,000,000 yaani 9.6 Trillioni.
Huko Columbia Watu wanang'a kahawa migomba na kupanda Mikoka mashamba ya mahindi nyanya na viazi mviringo nayo hubadirishwa na kuwa ya Mikoka. Uwezekano wa njaa ya kitaifa kuingia ni mkubwa.
Hebu Fikiria sisi kule kwetu Njombe na Mufindi tukiacha kulima Mahindi na kupand zao la GANJA itakuwaje??
The same way Mtu akituibia fedha za serikali say za Kukarabati Daraja la Malagalasi na kujengea hoteli ya nguvu Arusha. Siku Daraja likivunjika kwa Maintanance Mbovu hasara yake ni Uchumi kwa kanda nzima. hoteli ile iliyoko Arusha haiwezi saidi kuvusha watu kuja Dar mara daraja likibomoka.
KWa hiyo ukiuza madawa bila kuweka dhana ya madhara ya madawa kichwani mwako ni kweli hakuna matata.
Fedha siyo ukombozi wa matatizo fedha ni means tunayo tumia kuexchange value.
Value ya madawa ya kulevya kwa muuzaji ni Fedha aipatayo.'Value ya Madawa ya kulevya kwa mnunuzi ni kubwia na kuwa teja.
Uko Tayari watoto wako kuishi na kuchanganyikana na mateja??
Uko Tayari kuwa na jirani Teja??
Mateja wakichacha wanageuka wezi sugu wenye kutuia silaha kali waibapo.
Kwahiyo fedha itokanayo na dawa za kulevya pekee ndiyo haramu? Vipi kuhusu fedha itokanayo na rushwa? Na ina madhara gani kwenye uchumi? Kwani kuna tatizo gani kama nauza unga kisha natumia faida kujengea hospitali, shule za kisasa, hoteli etc na kutoa ajira?