Utajuajekama amecheat!!

naona leo mmeamua kumwaga radhi wakubwa., poa mi leo msikilizaji, au cheer leader
 
...kuna wale wanaojitetea na mapeeema wakiingia tu nyumbani/chumbani ati, "...mgongo unaniuma leo!", wengine husingizia kichwa almuradi tu usiwaguse!...

Kwa wanaume unaweza jikuta mheshimiwa anakamua povu tu siku hiyo badala ya nusu kikombe cha kahawa kama ilivyo kawaida...

All in all, kila mtu anajijua udhaifu wake na wa mwenzake baada ya tendo hilo la ndoa,..mwenzio aki cheat siku hiyo utamgundua kwa jinsi anavyojishuku... mfano; kama macho yake hurembuka siku hiyo atajidai taa inamuumiza macho,.. au atajitia mishughuliko kutafuta kisichotafutika almuradi kuua soo au kupunguza maswali...

mwingine atavulia nguo bafuni ajichunguze weee... au ajipulizie manukato kupoteza ile harufu ya mtu mwingine...

Huna haja ya kumchunguza mwilini, wewe mkodolee macho tu utaona anavyojiuma uma...
 
Kumkamata ni kazi ila labda ukiwa una mfululizo wa matukio na kuhisi ndo unaweza kufuatilia.
Hata hivyo kumbuka hata ukipewa means za kutambua kuwa leo jamaa amemega ama bibie amemegwa, hakuna jinsi utakubaliana nae kama hujakuta kitu live bila antena, labda ukishajua umbembeleze mwenyewe akubali sabab wala huna vidhibitisho au aamue mwenyewe kukuambia kama ameshakuchoka.
Mi nafkiri kitu cha kumuomba akuheshimu, akupende na akumbuke kujilinda akiwa katika wizi kama itatokea.
 
Back
Top Bottom