Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
utaalamu upi mlionao, labda hamjakutana na wataalamu ndio mana mnajiona wataalamu.
Waambie kabisa hawa vijana wa high school.....sisi wa macollege tumenyuti tu!
utaalamu upi mlionao, labda hamjakutana na wataalamu ndio mana mnajiona wataalamu.
ctumii uzazi wowote wa mapango zaidi ya calendar, so lazima nitayajua hayo makitu vzr.
naona leo mmeamua kumwaga radhi wakubwa., poa mi leo msikilizaji, au cheer leader
Na wewe si mkubwa mwenzetu. Ingia uwanjani umwage radhi na wakubwa wenzio. Acha woga.
Fafanua vema halafu jibu swali. Hayo makondom dizain zote hizo umezitesti na dume moja au?
Hajawahi kucheat kama Nyamayao ...hana uzoefu!
Au hajui kuiogesha vizuri kama nyamayao anaogopa kushtukiwa. Manake mume wake nasikia ananusa kama dogi.
kama nimeolewa na wanaume kumi bac nitakuwa nimetumia nao hao wote kumi, mwehhh
Hajawahi kucheat kama Nyamayao ...hana uzoefu!
Hii miwani inanipa shida mume wake ananusa kama Fidel?
naona leo mmeamua kumwaga radhi wakubwa., poa mi leo msikilizaji, au cheer leader
Binadamu wa humu jamvini siwawezi, mimi nasepa
Something interesting you want to share with me? Maana huku ni kwa wakubwa tu.usisepe nisubiri kidogo darling.
Something interesting you want to share with me? Maana huku ni kwa wakubwa tu.
ina mana lily inawezekana ni under eighteen?Something interesting you want to share with me? Maana huku ni kwa wakubwa tu.
Sio kihivyo ila kuna bibie kamwaga mchele mwingi sana, mambo ni mengi.Very interesting. You wont regret. We nawe si mkubwa lakini?