MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #101
...Jinsi ninavyochukia mwanamke anaye fake orgasm! yaani ni sawa na kununua bidhaa ya china tu, the 'whole package is of poor quality,' aarrrgghhhh ,...how come some men cannot tell the difference?
Pole Mbu but sometimes inabidi kwa sababu kama mtu akikulazimisha kwa maana ya kuforce na wewe hujisikii kabisa utamwachia ajipakulie then usipofika anakufungulia kesi nyingine kuwa unatoka nje ya ndoa sasa bora lipi? akuforce usifike akushutumu kuwa na mahusiano ya nje au uepushe shari?. Najua inabore na kuchukiza but sometimes inabidi. Sikitetei kitendo hiki kwani hata mie sipendi kuachwa njiani but inatokea.
Sorry