Utajuaje kama ni mwari - Untouched

utamuona jinsi alivyokakamaa, akitembea kiuno kigumuuuuuu, ...viungo vya mwili havijalainika, ...utadhani kachomelewa -'welding!'

hata aibu aibu kwa wavulana kule Kilimanjaro utaona anang'ata ng'ata vidole Iringa hapo utaona anang'oa ng'oa nyasi na kutafuna tafuna hapo mzee we kaza uzi tu huyo unaye tu.....lakini ukiona anasema niangusage si zambi zako mwenyewe mmmmh tayari used.
 
Womenofsubstanc, Mwanajamii na Nyama yaoJaribuni kusaidi hapa mwenzetu anahitaji ka-elimu kidogo.
 
Doooh,watu amabo hawajakaa vijijini mnahangaika na mengi.
Njia ni rahisi,angalia miguu. Ya mwenye bikira huwa iko straight mbele. Kama ameishafumuliwa lazima ipinde,hata avue viatu.
Njia nyingine angalia mikono kama unaweza kuifikia lazima pawepo mchirizi hata kama anatumia dawa gani. Na ya mwisho kama ukipata chance ya kumshika mkono ambaye ni bikira-lazima anakupa mkono ukiwa umepinda chini.
 
Doooh,watu amabo hawajakaa vijijini mnahangaika na mengi.
Njia ni rahisi,angalia miguu. Ya mwenye bikira huwa iko straight mbele. Kama ameishafumuliwa lazima ipinde,hata avue viatu.
Njia nyingine angalia mikono kama unaweza kuifikia lazima pawepo mchirizi hata kama anatumia dawa gani. Na ya mwisho kama ukipata chance ya kumshika mkono ambaye ni bikira-lazima anakupa mkono ukiwa umepinda chini.

duh hii kisayansi zaidi
 
Kama akiwa mwanamke unamwitaji au binti unayemtunza katika kujua STATUS,utamjua kwa yafuatayo:
1.Akiongea muda mwingi anaTAZAMA chini
2.MAKALIO yake yatakuwa MAGUMU kwa macho hayatingishiki hata kama ni makubwa,hata kwa kugusa(provided is allowed)
3.CHUCHU zake, saa tano na nusu
4.Kikubwa zaidi ni KISIGINO CHA MGUUNI,akitembea mguu wote haugusi chini,but you need to be very observant,hivi hivi huwezi kuona tofauti.Hivyo hata kama KATENGENEZA KWA MAIMATHA or watu kama hao,hiyo itakupa majibu tu.
 
Njia ni rahisi,angalia miguu. Ya mwenye bikira huwa iko straight mbele. Kama ameishafumuliwa lazima ipinde,hata avue viatu.
Njia nyingine angalia mikono kama unaweza kuifikia lazima pawepo mchirizi hata kama anatumia dawa gani. Na ya mwisho kama ukipata chance ya kumshika mkono ambaye ni bikira-lazima anakupa mkono ukiwa umepinda chini.

2.MAKALIO yake yatakuwa MAGUMU kwa macho hayatingishiki hata kama ni makubwa,hata kwa kugusa(provided is allowed)
3.CHUCHU zake, saa tano na nusu
4.Kikubwa zaidi ni KISIGINO CHA MGUUNI,akitembea mguu wote haugusi chini,but you need to be very observant,hivi hivi huwezi kuona tofauti.Hivyo hata kama KATENGENEZA KWA MAIMATHA or watu kama hao,hiyo itakupa majibu tu.

Dah!
Kumbe kuna waganga wa kienyeji humu?!
Hii ni mpya!
 
labda tuulizane
kila mmoja wetu humu aelezee uzoefu au ladha, lini au hata ukiweza kutohoa kuhusu mara ya kwanza kubanjuka.
 
Kuna moja niliwahi kuisikia wakati nikisoma shule ,ile ya kutingisha wowowo na sio kutingisha kwa kukusudia au ile ya kama paka waliotiwa ndani ya gunia ,kuna mtetemeko fulani ambao si wa kawaida kwa mwanamke ambae bado hajawa deflowered na pia ile ya vidole vya miguu chini kabisa kila mguu kuelekea upande wake kwa maana ya alama ya V ,ila hii bado sijaifanyia uchunguzi nategemea kwenda vijijini mwisho wa mwezi hawa wa mjini naona wote ni V.

Na yule aliesema kama mwanamama akitembea kama aliepigwa welding naona itakuwa tabu kuwajua waliopitia ujeshi na wale wafanyao kazi polisi au wale wanaokwenda body building.
na wale wa matiti ya saa tano pale sijaelewa vizuri sijui mfafanuzi alikusudia vipi au kitu gani .
 
Mwiba hili suala ni very complicated for various reasons na wakati mwingine inabidi tu labda umuamini mtu wako kama akikuambia hajawahi kuguswa. Wengi tunaamini kuwa mwanamke akisema kuwa ni 'bikra' basi ni lazima wakati wa kuingia- utakwama au utaingia kwa shida sana, hii ni kweli lakini sio mara zote.

Kuna kitu moja inaitwa shabu, kule bara Shinyanga wanaitumia kusafishia maji lakini wanawake wa pwani naambiwa wanaitumia hiyo kitu kupunguza size ya ndude zao, wakati mwingine unashindwa kuingia kabisa na mwanamke hutokwa damu! Na pia kuna kamchezo kengine ka kubanika K, utaona uswahili wana vijiko vidogo vya mkaa ambavyo naskia vinaweka katikati ya miguu kufanya ngoma iwe ndogooo na ya moto!

Kwa upande mwingine kuna wasichana ambao ni bikra lakini siku ukiwagusa unaingia mzima mzima, wengine ni maumbile yao tu na kwa wale ambao wako active, I mean- kama mwanamke anajishughulisha na michezo- kukimbiakimbia na kurukaruka kwa sana, nyavu inaondoka yenyewe.

All in all hakuna raha yoyote ya kukutana na msichana ambaye hajaguswa, nina personal experience, tena more than once. Kuna vilio hapo, umwagikaji wa damu, na you dont get anything back! Ni kama vile unafanya kazi ya kuwalimia wenzako barabara wao waje wapite kiulaini baadae!
 
Mzee hapo juu (Kana Ka Nsungu)maneno yako msumari kabisa ,yaani kuna darsa kuu ndani yake ila kwa upande wa ndoa wanasema ni heshima sasa kuja kuharibikia ukubwani inawezekana ni malezi ya mume kwa mkewe au mnasemaje wadau ?
 
Kumbuka Mwiba kuna wale wasiozaliwa nazo, sasa nao sijui utawatambuaje?
Je na mwanaume untouched tutamjuaje sie wadada?

Pretty,

Haiwezekani mtu akafanya tendo la ndoa kabla hajazaliwa.Hivyo hamna anayezaliwa bila 'hiyo'.Ubikira ni hali ya kutokushiriki tendo la ndoa tangu kuzaliwa.
 
Pretty,

Haiwezekani mtu akafanya tendo la ndoa kabla hajazaliwa.Hivyo hamna anayezaliwa bila 'hiyo'.Ubikira ni hali ya kutokushiriki tendo la ndoa tangu kuzaliwa.
wengi wanamix sana hapo wanafikiria ubikira ni kile kitendo cha kuwa na ule utando wa ngozi ambapo kutolewa lazima uachie....ukweli ni kama ulivyosema hapo.......utando ule unaweza kutolewa kwa kazi ngumu kama kuteka maji,kutwanga,kunyanyua vitu vizito na hata kuendesha baiskeli....
 
Yule mfalme III wa Swaziland akitaka kuoa na kuongeza mke huwa anachagua bikra na kuna jinsi ya kuwapima/kuwacheki hao mabinti kama ni bikra ili mfalme aopoe kigori na kukifanyia uzinduzi mwenyewe.
Siku hizi siyo kama miaka ya nyuma, ukiwa na bikra mpaka unaolewa unaonekana mashalaah mtoto kajitunza huyu. Ila kwa sasa ni nadra kukuta brand new ila wachache sana wapo, je unataka kutest uone jinsi ilivyo kumtoa bikra?Sisi wanawake hatusahau,utasikia flani alikuwa first love wangu tena amenibikiri!..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom