Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Natumai wapo wajuzi ambao wanaelimu ya kuweza kutueleza kuwa ukiona hivi au vile basi uelewe kuwa bado mwanamama ni mwari na hajaguswa kabisa na anaendeleza heshima yake, na kuna wengine ukiwaona hivi na vile basi ujue wameshakuwa deflowered so ni kitu gani mnaweza kunielewesha ambacho ni cha uhakika kabisa katika kutegua hisia hizo ,ifahamike kuwa nazungumzia ukimuona kwa macho tu, nahitaji elimu ya kutambua tu bila ya kufika na kuikagua karakana nzima. Natafuta elimu. Japo wengine wananiona mjinga sijui kitu na iwe hivyo ila hapa JF najua wapo watu na taaluma zao mbali mbali na wengine ni uzoefu tu ,wanaweza kunielewesha au kutuelewesha.