Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Ni mwanachama wa jamvi pendwa la JF. Kuna mada ambayo ungependa uiweke jukwaani ili wana fikra pevu waweze kuichambua na kuchangia. Lakini kwa bahati mbaya, watu wengi wanaipitia na hawachangii chochote. Kila ukiikagua thread yako unakutana na neno REPLIES 0, VIEWERS 340.
UTAJISIKIAJE???
UTAJISIKIAJE???