SIWEZI KUJIBU SWALI RAHISI KAMA HILO..JUST GOOGLE HIYO EOTF na WAMA watakuwa wameandika misaada yao ilienda wapi afteral ...kama umenielewa hata hiyo EOTF siungi mkono..ndio maana nikasema wafadhili waache kusaidia taasisi zote mfano wa WAMA ..ikiwemo EOTF.....kwani inaonekana pesa misaada haiwafikii wote....hata ninaposema afadhali EOTF ...upande wa distribution mwisho wa siku wote hawafai....
TUACHE TABIA YA KU TAKE COVER YA UKANDA NA UDINI PALE TUNAPOAMBIWA UKWELI ....
Sumaye ni fisadi tunajua wala mtu asitake kumtetea sababu anautaka urais ndiyo maana akaenda marekani kutafuta digrii
bongo wote ni walaji tu,msitake kujifanya nyie members wote ni malaika. Leo hii mkipewa cheo mtakula kuliko hawa jamaa.
@omr umeonaee ,yani wabongo tumejaa unafki wa kufa mtu.hebu mnaojua hii issue mtuekee ushahidi hapa.maana isijekua ni kampen za majitaka.unaposema 'nasikia hiyo ni hearsay.bila ushahidi inabaki kua tetesi not confirmed
naomba nimnukuu askofu mmoja alikua anahubir kule mwanza 'je kila mtu ajichunguze nikweli tunauchukia ufisadi au tunawachukia mafisadi kwasababu sisi hatujapata nafasi za kuwa mafisadi' mwisho wa kunukuu. Jichunguze nafsi yako uone inavyokusuta kama na ww ukipata chansi hutapata nafasi ya kujineemesha ww na ukoo wako. Acheni chuki binafsi!
Acha kubwatuka! Ukweli lazima usemwe!Mhh..kwani yeye slaa nani hadi kila anaporoka jambo watu wakimbie kujitetea?acha hizo slaa si mungu,watu hawamtii mungu iwe vipi slaa akiongea watu wajikanyage kumjibu.SI AENDE MAHAKAMANI KAMA ANA EVIDENCE NA HUYO RIZ ATAkanusha ama kukubali.ulitaka akanushie kwenye media?sheria gani inasema hivo?
Kwani mtoto yule kamaliza shule 2008 na utajiri wa mabilioni anautolea wapi?Watu wataluuma yake hiyohiyo wameajiriwa miaka mingi na hawajapata hayo mabilioni,umakin unahitajikaNaona unajitahidi kujitoa ufahamu!! Ila ngoja nikukumbushe, hao viongozi wamebeba dhamana ya kuongoza nchi (kwa niaba yawatz kama hawawezi na bado
Hata iwe mimi,lazima nijitambue kuwa ninapowawakilisha wananchi vibaya basi ipo siku nitahukumiwa. Uwanja wa biashara ni mkubwa sana nje ya siasa yenyewe; ila kwa nyie mambumbu mnaona siasa ndio mtaji pekee. Subirini sasa hukumu yenu...
Mtikila - ni mwendawazimu
Cleopa Msuya - Tunaomba maelezo ya nini kilichotokea 12/04/XX pale Morogoro (kweli wewe ni msafi)
Joseph Sinde Warioba - Sina comment - Uwaziri Mkuu wako uliishia kwa Mke! Strange!
Frederick Sumaye - What are you UP TO?
Tanzania Daima - Why are you becoming the Voice of "triplets"?
I feel Like Shooting someone - cold blood!
Mhh..kwani yeye slaa nani hadi kila anaporoka jambo watu wakimbie kujitetea?acha hizo slaa si mungu,watu hawamtii mungu iwe vipi slaa akiongea watu wajikanyage kumjibu.SI AENDE MAHAKAMANI KAMA ANA EVIDENCE NA HUYO RIZ ATAkanusha ama kukubali.ulitaka akanushie kwenye media?sheria gani inasema hivo?
Kwani mtoto yule kamaliza shule 2008 na utajiri wa mabilioni anautolea wapi?Watu wataluuma yake hiyohiyo wameajiriwa miaka mingi na hawajapata hayo mabilioni,umakin unahitajika