Kazi ya mapacha watatu. Hata RZ1 mali wamempa wenyewe, na kwa kuwatumia watu wengine ili mkulu asiwaguse
Angekuwa safi si angekataa hizo mali...wewe mtu anayekula kwa ulafi akivimbia atamlaumu mpishi????
Ni ukweli usiofichika kuwa kikwete na familia yake sasa wanakula bila haata ya kunawa na karibu watavimbia na kutapikia viatu vyao na kuwachafua walio pembeni yao...
Kikwete amempa rafiki yake SUBASH PATEL mgodi wa chuma liganga....huyu ndie ambaye anamjengea Kikwete majumba yake ..kupitia kampuni yao ingine ya ujenzi.....kupitia biashara zao amejenga majumba yafuatayo ndani ya miaka 5 iliyopita......
1] Majumba ya rais Msoga Chalinze.
2]Jumba la rais mikocheni
3]Nyumba ya rais Bagamoyo..
4]Magorofa ya rais yaliyopo mitaa ya jamhuri street...etc
Kikwete amempa mdogo wake tenda ya kujenga barabara ..ya bagamoyo - msoga ..ambayo alitumia kampuni ya Kikorea na kuwashirikisha SUMA ...ilikuja kudhibitika kuwa ile kampuni ya kikorea haikuwa na uwezo ..na pesa walishachukua na mdogo wake kukunja mgawo wake...SUMA jkt na serikali ndio walioingia haasara kubwa....Kwa kuficha aibu jambo hili likafunikwa na tenda ya barabara hiyo akapewa mkandarasi mpya[ile kampuni yao rafikie] na kulipwa upya tena bila kufuata NCTS...au approval ya bunge.
Mke wa rais ameendelea kufanya ufisadi nadhani anataka kumshinda Anna sasa....anapita dunia nzima kuchangisha kupata pesa la jina la tanzania lakini afadhali ya mwenzake alikuwa anakula na kupuliza kwani misaada yake ya vitabu,vitanda,baiskeli za walemavu ..compyuta etc ilikuwa inasambazwa nchi nzima ...yeye pesa zote anazopata kwa jina la Tanzania anazipeleka LINDI.....alipewa bilioni 10 na bilionia wa kijapani ..akaenda kujenga shule ...ambayo haifiki bilioni 3......nyingine akajenga hoteli ya kitalii LINDI...,Acha misaada mingi tu inayokuja ...ambako sasa amejielekeza kuweka vitega uchumi....yupo marekani sasa ambako amepewa dola milioni 28...nadhani hizo pia nyingi zitaishia kujenga magorofa ..kwa mgongo wa kuifanya taasisi uwe sustainable...............ni vema sasa makampuni yakaacha kuzipa taasisi mfano wa WAMA pesa ....
Huyo rizwan ndio wala sina la kuongeza,.......yaliokuwa yameanzia huku sasa yanadhibitika ....na haya tunayoeleza sasa yatafuatia.........
Afadhali ndugu yake Miraj ...sio fisadi..ukiachilia ulevi...at least anaweza kuonge watu wakamuamini...lakini hawa wengine wasubiri safari za mahakamani pale muda wa Rais ukimalizika!!
Sijui huyu Mtikila hizi nyeti huwaga anazitoa wapi tu.
Ukipata nafasi itumie vizuri! Ridhiwani inabidi apongezwe kwa kugrab opportuinity! Big up Ridhiwan, endeleza mapambano ya kutafuta hela!
Labda utukumbushe misaada ya mama Mkapa alikuwa anapeleka wapi..I mean kanda gani.??maana nchi hii inaelekea ya Nigeria na Ivory Coast hivi sasa kwa kasi ya ajabu..umoja na uzalendo aliotuachia Mwalimu unakanyagwa bila aibu mchana kweupe.
Mtikila - ni mwendawazimu
Cleopa Msuya - Tunaomba maelezo ya nini kilichotokea 12/04/XX pale Morogoro (kweli wewe ni msafi)
Joseph Sinde Warioba - Sina comment - Uwaziri Mkuu wako uliishia kwa Mke! Strange!
Frederick Sumaye - What are you UP TO?
Tanzania Daima - Why are you becoming the Voice of "triplets"?
I feel Like Shooting someone - cold blood!