Utajiri wa Kamanda Barlow Unatisha! Soma hapa...

Bado naye yule mkur***nz mweny jina kama la Zuberi maana naye hapa mwanza tetesi tunazozipata zinatisha, tunasikia hadi kanyang'anya viwanja vya watu halafu wanajenga magorofa yao ziwani.[/QUOTE]

atakuwa mbunifu sana. wamefanya land reclamation sio???
 
Nimefuatilia hiyo thread ya umiliki wa nyumba na magari wa aliyekuwa kamanda wa polisi mkoani mwanza marehemu reberatus barlow mimi binafsi sina ugomvi na marehehu baro na wala sina ugomvi na hizo mali alizokuwa anamiliki kipindi chote cha uhai wake shida yangu ni kwa nini haya yote yafahamike kipindi ambacho barlow ni marehemu. Jeshi la polisi nalo limekiri kuwa kulikuwa na uchunguzi uliokuwa unaendelea mbona hilo tulikuwa hatulisikii lakini limekuja kusikika pindi ambacho kamanda huyupo tena hapa duniani kulikoni? Lakini pia kuhusu suala la umiliki wa magari kama nilivyotangulia kusema hapo awali sina uadui wowote na marehemu barlow lakini tume ya kupambana na rushwa ilikuwa wapi kwa kipindi chote hicho hadi leo hii suala la magari ndo watanzania tunalisikia? Kwangu mimi kama mtanzania wa kawaida napata shida kidogo kuwa inaonekana viongozi wa ngazi za juu huwa wanajichunguza wenyewe kwani kama hili suala lingekuwa limeshawekwa hadharani toka mwanzo jambo hili leo isingekuwa mada tena bali tungekuwa tunamwombea baraka zote na mwenyezi mungu amuweke mahali pema peponi lakini kinyume chake watanzania tunaanza kusema ya kuwa kwa kuwa huyu bwana alifuja mali ya walipa kodi ya nchi hii basi pia huko aliko mwenyezi mungu naye amuadhibu kutokana na wizi alioufanya sina maana ya kuwa namhukumu marehemu barlow la hasha ila nasema kulingana na kile ambacho nimekipata kutokana na taarifa ya gazeti la mwananchi ushauri wangu: kuwepo uchunguzi wa mara kwa mara wa viongozi wetu kuhusiana na mali wanazomiliki badala ya kupewa taarifa ya kuwa kongozi fulani alikuwa anamiliki mali furani kipindi cha uhai wake ambazo hazikuwa halali ili waweze kuwajibishwa kipindi cha uhai wao:mkulima kutoka kijiji cha morogoro
 
Mimi nafikiri siyo tatizo la uongozi, bali ni ile laana ambayo mtu mweusi anayo. Ebu fikiria mtu kama Barlow na umri wote huo anajenga Golofa? I think Black people are all Satan, Roho chafu kila mtu anataka ubinafisi, watoto wa wanakosa elimu, dawa hakuna wakati wengine wakijenga maorofa, it dosen't bring sense. Let us allow the white people to come back once again.

Punguza hasira mkuu
 
Nimefuatilia hiyo thread ya umiliki wa nyumba na magari wa aliyekuwa kamanda wa polisi mkoani mwanza marehemu reberatus barlow mimi binafsi sina ugomvi na marehehu baro na wala sina ugomvi na hizo mali alizokuwa anamiliki kipindi chote cha uhai wake shida yangu ni kwa nini haya yote yafahamike kipindi ambacho barlow ni marehemu. Jeshi la polisi nalo limekiri kuwa kulikuwa na uchunguzi uliokuwa unaendelea mbona hilo tulikuwa hatulisikii lakini limekuja kusikika pindi ambacho kamanda huyupo tena hapa duniani kulikoni? Lakini pia kuhusu suala la umiliki wa magari kama nilivyotangulia kusema hapo awali sina uadui wowote na marehemu barlow lakini tume ya kupambana na rushwa ilikuwa wapi kwa kipindi chote hicho hadi leo hii suala la magari ndo watanzania tunalisikia? Kwangu mimi kama mtanzania wa kawaida napata shida kidogo kuwa inaonekana viongozi wa ngazi za juu huwa wanajichunguza wenyewe kwani kama hili suala lingekuwa limeshawekwa hadharani toka mwanzo jambo hili leo isingekuwa mada tena bali tungekuwa tunamwombea baraka zote na mwenyezi mungu amuweke mahali pema peponi lakini kinyume chake watanzania tunaanza kusema ya kuwa kwa kuwa huyu bwana alifuja mali ya walipa kodi ya nchi hii basi pia huko aliko mwenyezi mungu naye amuadhibu kutokana na wizi alioufanya sina maana ya kuwa namhukumu marehemu barlow la hasha ila nasema kulingana na kile ambacho nimekipata kutokana na taarifa ya gazeti la mwananchi ushauri wangu: kuwepo uchunguzi wa mara kwa mara wa viongozi wetu kuhusiana na mali wanazomiliki badala ya kupewa taarifa ya kuwa kongozi fulani alikuwa anamiliki mali furani kipindi cha uhai wake ambazo hazikuwa halali ili waweze kuwajibishwa kipindi cha uhai wao:mkulima kutoka kijiji cha morogoro

Nadhani kuna kila sababu sasa Tume ya maadili ya viongozi ivunjwe kabisa sababu haina kazi.

Kama kiongozi huyu mkubwa wa Jeshi la polisi alikuwa ameandikisha mali zake zote hizi kwenye Tume, ilifuatiliwa kujua uhalali wake???

Kama hakuwa ameandikisha, Tume ilishindwaje kubaini kuwa imedanganywa???

Kama hivyo ndivyo, viongozi wangapio wanadanganya kuhusu mali wanazomiliki???
 
kinachonishangaza mm ni kwamba kafa akiwa na mwanamke ambaye tayari ni hawara wa mtu mwingine kwahiyo ni mwizi wa penzi la mnyonge, hadi mali za nchi hii.

jamani inamaana hakuna hata kimoja ambacho aliweza japo kukifanya fair? sasa masala yote aliyoombewa ya nn? kamuibia mkewe penzi bado kaja kaliibia taifa mali halafu mnamwombea. alipaswa kuzikwa kama mbwa ama kuku tu manakesala zote hizi ni bure kwake may be zitasaidia wengine walioko toharani lol!

ilibidi nisome hii post yako mara tatu ili nijiaminishe kuwa nimekuelewa vema au lah. No Comment
 
Hiyo ni siasa wanataka tusahau kifo chake..utajiri wa nyumba mbili na lori kwa RPC si utajiri ata wafanyakaz au polis wa kawaida wanamiliki magorofa na samtrela ata 10 so kaka hii si hoja ichomoe JF
 
Katika mambo yote naweza nisikubaliane na Lawama mnazomtupia huyu jamaa marehem, kwanza amefanya kazi mda mrefu sana akiwa na cheo cha chini n kupanda mpaka hapo alipo RPC jamani hivi kweli kama ni mtu alikua najishughulisha na mshara hawezi kujenga nyumba ya ghorofa 3?!! huu sasa ni utani tuacheni wivu jama, kwann nyie mkiona Mzungu au Mhindi ana ghorofa hamsemi ni za wizi ila Mwafrika mwenzenu mnakimbilia kaiba haya ni mawazo finyu...

Issue ya gari kuwa na mashaka hilo lizungumzwe na taarifa itolewe ila kumiliki fuso 2 ni jambo dogo sana sana kwa RPC,,kwani nani hajui Barlow alikua anadhibiti majambazi mwanza?!! sasa huu uzushi mwingne acheni jamaa ameshalala mauti basi..
 
Hii ni siasa bado hatukuamini uliyeleta hii thread mbona watoto wa vgogo wanamili samtrela zaid ya 50 na mahotel zaid ya 10 hamsem muache rpc barlowa apumzke mahali pema na watuhumiwa waliohuska washughulikiwe
 
Nchi hii inatakiwa tufike mahali kila mtu mwenye mali achunguzwe na hasa wafanyakazi wa serikali. wengi ni wapokea rushwa na ndio maana nchi haiendi mbele.
Unapozungumzia watumishi wa serikali cha muhimu tuanze na wanasiasa kwani wao ni matajiri zaidi kuliko watumishi wa serikali, na je kati ya waliohifadhi fedha uswiss kuna mtumishi wa serikali?
 
RPC Barlow alkuwa anapambana na wahalifu so kwa wale wasiopenda uadilifu hawampend whats lori 2 na gorofa tatu kwa mtu aliyefanya kaz ya kutukuka ktk jeshi la polisi kwa miaka mingi ata kuongoza mikoa yenye uhalifu mkubwa kama mara...uliyeleta hii tread wambie waliokutuma watanzania wamekataa barlow alkuwa muadilifu na mpnga rushwa na ujambaz full stop
 
bahati mbaya, mtu tunayemzungumzia hayupo, laiti angekuwepo angeweza kutoa maelezo na kila mtu akaridhika. niliwahi kuzungmza na mtu mmoja ambaye anafanya kazi kwenye taasisi mojawapo ya fedha, alisema kamanda alikuwa mtafutaji, na kamwe hakuogopa kukopa. karibia kila taasisi inayokopesha pesa, yeye amekopa na alikuwa na marejesho mazuri. Hadi FINCA wanamjua mtu huyu.

Inawezekana uko sahihi.

ndio maana hata bima ya gari alikuwa ameikopa pia
 
Barlow alkuwa mkopaji mzur nipo na jamaa wa benk apa wanakiri hilo...ata bima akikopa si tatzo uliyeleta hii mada unaonekana una chuki bnafs na marehemu Barlow...huo ndio ukweli bt Watanzania tulikuwa tukimpenda na kumheshmu alazwe mahali pema peponi Mpigani wananchi hususani walalaoi LATE HON;RPC BARLOW
 
Back
Top Bottom