Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Hizi mali za mashaka ni ushahidi kuwa watendaji wetu wengi ni majambazi wasioweza kutoa maelezo ya jinsi walivyochuma. Barlow maisha yake, kifo chake hata kipato chake ni picha ya majambazi wanaoifanya Tanzania iwe omba omba. Bahati mbaya ni kwamba jinai hii inaanzia ikulu hadi kwa mfagiaji.
Heri Mungu awapunguze wanangu wezi walionishinda ili wale wasafi hasa wakulima na wafanyakazi wa kipato cha chini wapunguziwe mzigo na madhara. Je hao nao wakipata nafasi watafanya nini? Zingatia sana hili Mtanzania. Vinginevyo unaweza kukuta unamchukia Barlow kumbe unajichukia mwenyewe.
respect..............