maskini utawajua tu, ichukieni serikali yenu ya magamba inayotajirisha wageni na kuwaacha nyie maskini mkihangaika.
umaskini wenu ni wa kizazi hadi kizazi. - Njiwa mtamani vya wenzio wewe - ha ha ha. utaolewa uwe mke wa pili chunga.
Nawewe katafute lakwako uliite Danguro,acha ushamba wa kimaendeleo.
Lina leseni ya biashara na kibali kuwepo pale katikati ya jiji? Kam ndiyo basi achana na kuleta chokochoko. Kama hujaridhika na uwepo wake nenda kashitaki TRA au wizara ya sheria na mambo ya katiba. Na kama unaona kichefuchefu, nani kakutuma uende kwenye danguro hilo kama wewe si mpenda vichefuchefu?
wewe kweli njiwa tena ni njiwa tetea!
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
Huna hoja ya msingi baba yake alikuwa na mashamba mengi ya ngano na shayiri tangu kabla ya uhuru, ukoo wao ni wa kitajiri so ameendeleza mali. una dukuduku jingine?
hahaha... nimewashika pabaya ehh! hili danguro limeharibu sana watoto wetu mfano mzuri product ya bills ni huyu mtoto Elizabeth Micheal "lulu" week in week out alikuwa pale
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
hahaha... nimewashika pabaya ehh! hili danguro limeharibu sana watoto wetu mfano mzuri product ya bills ni huyu mtoto Elizabeth Micheal "lulu" week in week out alikuwa pale
hahaha... nimewashika pabaya ehh! hili danguro limeharibu sana watoto wetu mfano mzuri product ya bills ni huyu mtoto Elizabeth Micheal "lulu" week in week out alikuwa pale
alipelekwa na mbowe?narrow minded people
hahaha... nimewashika pabaya ehh! hili danguro limeharibu sana watoto wetu mfano mzuri product ya bills ni huyu mtoto Elizabeth Micheal "lulu" week in week out alikuwa pale
you seems to be a very good customer in the so called brothel of Freeman, since 1980? Congrats buddy...... Utajibeba mkuu.......njiwa,
Unachosema ni sawa bills kuna biashara haramu sana ukipita pale kwa nje tu utakuta mabinti wamejipanga wanasubiri wateja ukiingia ndani ndio balaa hujue ilo danguro lina miaka pale mie nimelijua toka mwaka 1980.
Kama angekua anafanya biashara haramu basi ccm wangeshammaliza kitambo sana.Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
naona wengi mmekurupuka na kujibu na hamna hata mmoja mwenye jibu naona porojo tu,kamuulizen kwanza mcjifanye mnajua kila kitu
nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani kuwa uozo
huyu si ndiye anamiliki danguro bills linatia kichefuchefu
Ama kweli mmeishiwa. Tangu lini kumiliki mali Tanzania ni jinai? Kwani ni mwajiriwa wa wizara yoyote ile tuseme ameiba kama mnavyofanya nyinyi magamba? Maji hufuata mkondo; hata baba yake alikuwa tajiri na aliutumia vema kwa kusaidia upaatikanaji wa Uhuru wa nchi yetu. Mmesahau kwamba baba yake alikuwa mfadhili wa harakati za Baba wa Taifa katika vuguvugu la kupigania Uhuru?Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
huyu si ndiye anamiliki danguro bills linatia kichefuchefu
hahaha... nimewashika pabaya ehh! hili danguro limeharibu sana watoto wetu mfano mzuri product ya bills ni huyu mtoto Elizabeth Micheal "lulu" week in week out alikuwa pale