Mwitongo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2009
- 312
- 360
- Thread starter
- #21
Nini Pendekezo lako Mwitongo.
Napendekeza uchunguzi huru kujua uhalali wa mali za viongozi wengi katika nchi hii. Suala la uwanja hata mimi babangu ana mashamba (mapori) makubwa tangu mwaka 1950, lakini hajawa tajiri kiasi hiki. nadhani mwanya wa utajiri wa hawa watu ni siasa na utumishi wa umma, kwa kifupi ni wizi. Huhitaji daktari kukueleza fulani kafa, wakati unaona hana shingo!