GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Nashangazwa sana kuona watanganyika wanakuwa na viburi sana,na kuwakashifu wazanzbari,na nchi ya zanzibar kwa ujumla,nakumbuka mara ya mwisho pinda kutamka kuwa zanzibar sio nchi sasa leo hii niwapa hii ramani kabla pinda hajazaliwa,wala taifa lake halijazaliwa,lazima tuwekeane heshima.
Ni jambo la kusikitisha kuona Utaifa wa Zanzibar uko ukingoni kupotezwa katika Ramani ya Dunia. Nawaletea ramani kongwe ya Bara la Afrika ambayo inaonesha mipaka ya Zanzibar mpaka mwaka 1669. Angalia ukubwa wa Taifa la Zanzibar ulivokuwa wakati huo na ulinganishe na ile ilivyokuwa kabla ya 26 April 1964 .
View attachment 26806
Ramani hii inaonesha kuwepo kwa Zanzibar kabla ya kuzaliwa nchi za Afrika Mashariki, Zambia na Zimbabwe.
Nadhani mutaweza kupata mwanga kiasi gani Utaifa wa Zanzibar umemegwa kidogo kidogo hadi kubakia visiwa vya Unguja na Pemba. Kwa kweli, hili ni jambo la kusikitisha sana. Historia inatufunza kwamba, kwa kiasi kikubwa umegaji huo wa Taifa la Zanzibar ulifanywa kwa kuwashirikisha Wanasiasa, Watawala wetu wa Zanzibar, vita pamoja na Wakoloni.
Hivi karibuni tunakabiliwa na muswada wa kurekebisha Katiba ya Muungano ambayo itatoa dira ya Watanazania with respect to Zanzibar. Scenario yenye nguvu ni kuwa tayari Watanganyika wameshajua matokeo ya mchakato mzima, kwani vigezo vilivochongwa katika muswada huo ni vile vitavoimeza kabisa Zanzibar.
Ni jambo la kusikitisha kuona Utaifa wa Zanzibar uko ukingoni kupotezwa katika Ramani ya Dunia. Nawaletea ramani kongwe ya Bara la Afrika ambayo inaonesha mipaka ya Zanzibar mpaka mwaka 1669. Angalia ukubwa wa Taifa la Zanzibar ulivokuwa wakati huo na ulinganishe na ile ilivyokuwa kabla ya 26 April 1964 .
View attachment 26806
Ramani hii inaonesha kuwepo kwa Zanzibar kabla ya kuzaliwa nchi za Afrika Mashariki, Zambia na Zimbabwe.
Nadhani mutaweza kupata mwanga kiasi gani Utaifa wa Zanzibar umemegwa kidogo kidogo hadi kubakia visiwa vya Unguja na Pemba. Kwa kweli, hili ni jambo la kusikitisha sana. Historia inatufunza kwamba, kwa kiasi kikubwa umegaji huo wa Taifa la Zanzibar ulifanywa kwa kuwashirikisha Wanasiasa, Watawala wetu wa Zanzibar, vita pamoja na Wakoloni.
Hivi karibuni tunakabiliwa na muswada wa kurekebisha Katiba ya Muungano ambayo itatoa dira ya Watanazania with respect to Zanzibar. Scenario yenye nguvu ni kuwa tayari Watanganyika wameshajua matokeo ya mchakato mzima, kwani vigezo vilivochongwa katika muswada huo ni vile vitavoimeza kabisa Zanzibar.