Utafiti

Pomole

JF-Expert Member
Jan 31, 2011
257
7
Utafiti nilioufanya mdau kuhusu ni kitu gani wanachoangalia wanaume hadi kumpenda au kumtamani msichana/mwanamke vimekuwa vikitofautiana toka zama hadi zama!!Enzi za mwalimu mwanamke mzuri alikuwa ni yule mwenye tabia njema tu si zaidi ya hapo!!Enzi za mzee ruksa mwanamke mzuri alikuwa ni yule mwenye sura nzuri tu si zaidi ya hapo.Enzi hizi wanaume wanamuangalia mwanamke kwanza katika hips na makalio basi!!!Hivyo basi wanaume wanachanganyikiwa zaidi na wanawake hao na hawaangalii tena tabia wala sura.Hivyo vinakuja baadae!!Napenda kutoa hoja


j.jpg p.jpg f.jpg o.jpg
 
Habari bure kusoma pesa we unataka tuangalie sehemu ambazo hazihusiki na majambos huoni itakuwa ni wrong calculations?
 
Kwanza mi madude kama hayo ndo yatanifilisi huku mjini nirudi kijijini kuliwa funza.
 
attachment.php


Tumwombe Mungu shetani asitutie majaribuni daima. Majaribu mengine jamani hayana maana kabisa. Kwani mwanamke kuwa na hips kubwa ina maana ana ladha nzuri kuliko mwenye hips za kawaida? Ni ujinga kudhania eti yuko tofauti. Tamaa ya macho huua roho na tujiepushe nayo.
 
Study population?, sample size?, study area?, demographic characteristics of study population?, methodology?, Data analysis tool?:A S 20::twitch:
 
hiyo research ilikuwa ina husu wanawake wakutoka nao out au wakurun nao(ladha)mtazamo wangu hauko tofauti ila kama ni mwanamke wa kutoka nae kuuza sura,,,enzi za mwalimu walikuwa wanapenda kuuza sura na binti mtulivu,ruksa sura na awe cheupe dawa,sikuhizi part zote za usiku mwanga hafifu ukitoka na demu mwenye mzigo wa kobe watu wata amaizing,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Mwanamke hips na ****,mengine majaliwa.msitunyanyase tuliofungasha,ni majaliwa tu sie tukapendelewa.mvuto lazima uwepo ili ndoa idumu na bila shepu ya ukweli mvuto hakuna.mengine tutajuana ndani ya ndoa
 
Study population?, sample size?, study area?, demographic characteristics of study population?, methodology?, Data analysis tool?:A S 20::twitch:

Naona Prof. unamwaga lecture kiaina, jamaa mzushi, kafanya obseravation yake binafsi halafu anaiita research! halafu ametumia feelings zake ku-generalize habits za watu wote.
 
Huo utafiti wako sio wa kweli, hiyo research yako haijatuhusisha sisi wa vijijini ambao hatuna sifa ulizotaja..
 
Back
Top Bottom