Endo agar
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 487
- 334
Habarini wakuu,
Kulingana na mitizamo ya wadada wengi wa humu na kutwa kukosoa wanaume, inadhihirisha kwamba wadada wengi hapa ni wahanga wa kuzalishwa na kuachwa na pia wengi wao mpaka sasa hawana wachumba.
ANGALIZO:
Maumivu yako hayawezi kuisha kwa kukosoa mwanaume
cha msingi jiheshimuni kama mama zenu, ili mfikiriwe msije zeeka bila waume.
Kulingana na mitizamo ya wadada wengi wa humu na kutwa kukosoa wanaume, inadhihirisha kwamba wadada wengi hapa ni wahanga wa kuzalishwa na kuachwa na pia wengi wao mpaka sasa hawana wachumba.
ANGALIZO:
Maumivu yako hayawezi kuisha kwa kukosoa mwanaume
cha msingi jiheshimuni kama mama zenu, ili mfikiriwe msije zeeka bila waume.