Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,792
- 1,842
Mama yangu! Taaluma ya utafiti sasa imebakwa vilivyo. Hata watoto wa CHINI ya darasa la SABA (sijui ni vidudu au chekechea?) walishiriki katika kura hii?
Naona MOD kaamua tu ai-move hii TOPIC kuepusha AIBU kwa chadema na kwa JF vilevile.
Mimi sisemi, wala sitochangia tena hapa. Ngoja nihame kabisa ktk hii thread! Kwaherini.