Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Wajumbe hao wamesema kwamba haiwezekani Chama Cha Wananchi (CUF) kikapewa kuendesha serikali hata kama kitashinda kwa kuwa Zanzibar lazima iendelee serikali ya Mapinduzi na iwapo CUF itapewa kuendesha serikali Mapinduzi yatakufa ambapo lengo la mapinduzi ni kutaendeleza.
Same old story. CCM haijawahi kushinda uchaguzi visiwani. Lakini inaendelea kuongoza. It will be same story this time around, CUF watashinda, watapigwa mikwaju na CCM itatawala. Uchaguzi Zanzibar hauwezekani ni porojo tu na geresha.