sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,131
- 4,249
afu kuna hawa watu hawa wa usimamizi wa uchaguzi kutoka europe jana wametangazwa TBC ...hawa mnawaonaje wadau..wanaaminika kweli hawa..??
Hawa wajumbe kutoka Europe HAWASIMAMII UCHAGUZI, anayesimamia uchaguzi ni NEC,kuwepo au kutokuwepo hakubadili dhana nzima ya uchaguzi.Kazi yayo ni kutazama na kuandika ripoti tu lakini hawana meno ya kubadirisha au kutengua kitu chochote kwenye uchaguzi.