Utafiti uliomponza SLAA 2010

kakakuona40

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
300
52
Kuna ukweli ambao yeyote hata kama si mpenzi wa CDM kama mimi ninakiri kuwa slaa alikuwa mbunge mahili sana na aliweza kutoa michango hai bungeni pamoja na kujenga hoja katika lile jumba la kifahari “BIG BROTHER”, lakini watu wengi wamekuwa wakihoji ni kipi kilichompelekea Dr. Yule aliyeruka toka diploma hadi Phd kugombea urais, Leo nitawaeleza siri kubwa ambayo ndio motive behind slaa kugombea.
Inasemekana CDM haikuwa na mpango wa kumsimamisha mgombea wa urais mwaka 2010, katika kikao chake kilichofanyika arusha baadhi ya viongozi walimpendekeza mboye ambaye alikataa, lakini pia wapo wajumbe walioshauri kuelekeza nguvu katika ubunge, udiwani na kukijenga chama zaidi, hoja hii ya pili ilipata nguvu sana na ndio lilikuwa azimio lisilo rasmi katika kikao kile.


Slaa alipatikanaje?
Inasemekana alishauriwa na baadhi ya wasisi wa CDM na pia katika kundi hilo walikuwepo viongozi wa “Watakatifu”, inasemekana Dr. hakushawishika na ushauri huo na aliomba ifanyike tathmin sahihi na aelezwe option zote ikiwemo nini atapata in return kama atakosa urais. Katika tathmini na upembuzi wao wataalamu wakaja na mambo yafuatayo


  1. Bila kujua kuwa walikuwa wanatumia daftari la kudumu la wapiga kura la zamani, hesabu za watu kwa kutumia majina yao(Sijui kwa nini walitumia majina), zilionyesha slaa anaweza kupata 52% ya kura zote kama mikakati itafanikiwa
  2. In case atakosa uongozi, atalipwa malipo yake yote kama alivyokuwa akipata akiwa mbunge (yaani 7.5 Milions)
  3. “Watakatifu” waliahidi full support kwa kutumia nafasi zao walizopewa ili slaa awe chaguo la mungu baada ya JK
Mapendekezo yalikuwa mengi ila hayo ni yale makubwa na baada ya mapendekezo hayo, ndio Dr. alipokubali kuyavulia nguo maji,


Udhaifu wa mapendekezo:
Kwa hakika lile lilikuwa kosa kubwa sana, moja ni kwasababu wengi wa watanzania hawapigi kura na huwezi kutegemea ushindi kwa watu hao, lakini baada ya mwezi mmoja kupita, TUME HURU YA UCHAGUZI ikatoa updated daftari la kudumu la wapiga kura likiwa na idadi kubwa zaid ya ile ya awali , kama mnakumbuka ilizusha malalamiko mkubwa na lilikuwa pigo la kwanza kwa CDM kwa kuwa kwa hesabu zilezile za majina lilipelekea mgombea wa CDM kuwa down.

Mwisho namshauri slaa next time 2015, agombee ubunge tena kwa kuwa tumeliona pengo lako bungeni na usipoteze tena muda wako na kugombea urais kwa kuwa ilikuwa kosa la kihistoria.

Asanteni
Trojan Downloader
 
Kakakuona ana kichwa kidogo sana yumkini hata ubongo wake ni mdogo zaidi kulinganisha na wanyama wote duniani

Mbaya zaidi Kakakuona huhifadhi kichwa chake chini ya tumbo...

Mkuu toa kichwa chini uone Revolution ilivyo katika progress otherwise utaendelea kuwa 'mala ducis avi domum'


:iamwithstupid:
 
Kuna ukweli ambao yeyote hata kama si mpenzi wa CDM kama mimi ninakiri kuwa slaa alikuwa mbunge mahili sana na aliweza kutoa michango hai bungeni pamoja na kujenga hoja katika lile jumba la kifahari "BIG BROTHER", lakini watu wengi wamekuwa wakihoji ni kipi kilichompelekea Dr. Yule aliyeruka toka diploma hadi Phd kugombea urais, Leo nitawaeleza siri kubwa ambayo ndio motive behind slaa kugombea.
Inasemekana CDM haikuwa na mpango wa kumsimamisha mgombea wa urais mwaka 2010, katika kikao chake kilichofanyika arusha baadhi ya viongozi walimpendekeza mboye ambaye alikataa, lakini pia wapo wajumbe walioshauri kuelekeza nguvu katika ubunge, udiwani na kukijenga chama zaidi, hoja hii ya pili ilipata nguvu sana na ndio lilikuwa azimio lisilo rasmi katika kikao kile.


Slaa alipatikanaje?
Inasemekana alishauriwa na baadhi ya wasisi wa CDM na pia katika kundi hilo walikuwepo viongozi wa "Watakatifu", inasemekana Dr. hakushawishika na ushauri huo na aliomba ifanyike tathmin sahihi na aelezwe option zote ikiwemo nini atapata in return kama atakosa urais. Katika tathmini na upembuzi wao wataalamu wakaja na mambo yafuatayo


  1. Bila kujua kuwa walikuwa wanatumia daftari la kudumu la wapiga kura la zamani, hesabu za watu kwa kutumia majina yao(Sijui kwa nini walitumia majina), zilionyesha slaa anaweza kupata 52% ya kura zote kama mikakati itafanikiwa
  2. In case atakosa uongozi, atalipwa malipo yake yote kama alivyokuwa akipata akiwa mbunge (yaani 7.5 Milions)
  3. "Watakatifu" waliahidi full support kwa kutumia nafasi zao walizopewa ili slaa awe chaguo la mungu baada ya JK
Mapendekezo yalikuwa mengi ila hayo ni yale makubwa na baada ya mapendekezo hayo, ndio Dr. alipokubali kuyavulia nguo maji,


Udhaifu wa mapendekezo:
Kwa hakika lile lilikuwa kosa kubwa sana, moja ni kwasababu wengi wa watanzania hawapigi kura na huwezi kutegemea ushindi kwa watu hao, lakini baada ya mwezi mmoja kupita, TUME HURU YA UCHAGUZI ikatoa updated daftari la kudumu la wapiga kura likiwa na idadi kubwa zaid ya ile ya awali , kama mnakumbuka ilizusha malalamiko mkubwa na lilikuwa pigo la kwanza kwa CDM kwa kuwa kwa hesabu zilezile za majina lilipelekea mgombea wa CDM kuwa down.

Mwisho namshauri slaa next time 2015, agombee ubunge tena kwa kuwa tumeliona pengo lako bungeni na usipoteze tena muda wako na kugombea urais kwa kuwa ilikuwa kosa la kihistoria.

Asanteni
Trojan Downloader

What had happened to the white thing in your head you call a brain?
 
Hahahahahaaaaahahahaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!

NAONA NI KWA JINSI GANI MAGAMBA YANAPUKUTIKA KILA YAKISIKIA DR SLAA ATAGOMBEA MWAKA 2015.

WEWE NI MTU WA ZAIDI YA ISHIRINI HUMU JF UNAJARIBU KUJENGA HOJA

2015 SLAA ASIGOMBEE, KWA NINI HAMUMSHAURI LIPUMBA ASIGOMBEE????

INAONESHA NI KWA KIASI GANI DR SLAA ANAWAKOSESHA USINGIZI

COZ MNAJUA 2015 TANZANIA HII HAKUNA MWENYE UBAVU WA KUSIMAMA NAE KUGOMBEA URAISI.



POLENI SANA WATANI HAHAHAAAA
 
  • Thanks
Reactions: GIB
Kuna ukweli ambao yeyote hata kama si mpenzi wa CDM kama mimi ninakiri kuwa slaa alikuwa mbunge mahili sana na aliweza kutoa michango hai bungeni pamoja na kujenga hoja katika lile jumba la kifahari "BIG BROTHER", lakini watu wengi wamekuwa wakihoji ni kipi kilichompelekea Dr. Yule aliyeruka toka diploma hadi Phd kugombea urais, Leo nitawaeleza siri kubwa ambayo ndio motive behind slaa kugombea.
Inasemekana CDM haikuwa na mpango wa kumsimamisha mgombea wa urais mwaka 2010, katika kikao chake kilichofanyika arusha baadhi ya viongozi walimpendekeza mboye ambaye alikataa, lakini pia wapo wajumbe walioshauri kuelekeza nguvu katika ubunge, udiwani na kukijenga chama zaidi, hoja hii ya pili ilipata nguvu sana na ndio lilikuwa azimio lisilo rasmi katika kikao kile.


Slaa alipatikanaje?
Inasemekana alishauriwa na baadhi ya wasisi wa CDM na pia katika kundi hilo walikuwepo viongozi wa "Watakatifu", inasemekana Dr. hakushawishika na ushauri huo na aliomba ifanyike tathmin sahihi na aelezwe option zote ikiwemo nini atapata in return kama atakosa urais. Katika tathmini na upembuzi wao wataalamu wakaja na mambo yafuatayo


  1. Bila kujua kuwa walikuwa wanatumia daftari la kudumu la wapiga kura la zamani, hesabu za watu kwa kutumia majina yao(Sijui kwa nini walitumia majina), zilionyesha slaa anaweza kupata 52% ya kura zote kama mikakati itafanikiwa
  2. In case atakosa uongozi, atalipwa malipo yake yote kama alivyokuwa akipata akiwa mbunge (yaani 7.5 Milions)
  3. "Watakatifu" waliahidi full support kwa kutumia nafasi zao walizopewa ili slaa awe chaguo la mungu baada ya JK
Mapendekezo yalikuwa mengi ila hayo ni yale makubwa na baada ya mapendekezo hayo, ndio Dr. alipokubali kuyavulia nguo maji,


Udhaifu wa mapendekezo:
Kwa hakika lile lilikuwa kosa kubwa sana, moja ni kwasababu wengi wa watanzania hawapigi kura na huwezi kutegemea ushindi kwa watu hao, lakini baada ya mwezi mmoja kupita, TUME HURU YA UCHAGUZI ikatoa updated daftari la kudumu la wapiga kura likiwa na idadi kubwa zaid ya ile ya awali , kama mnakumbuka ilizusha malalamiko mkubwa na lilikuwa pigo la kwanza kwa CDM kwa kuwa kwa hesabu zilezile za majina lilipelekea mgombea wa CDM kuwa down.

Mwisho namshauri slaa next time 2015, agombee ubunge tena kwa kuwa tumeliona pengo lako bungeni na usipoteze tena muda wako na kugombea urais kwa kuwa ilikuwa kosa la kihistoria.

Asanteni
Trojan Downloader

Kwa mujibu wa maelezo yako hao wachache wanaopiga kura hapa Tanzania ndio huwa wanawapa kura CCM? Kama mnaogopa DR.Slaa kugombea urais mnaona lazima ashinde nyinyi anzeni kutekeleza matakwa ya wananchi hawatakuwa na haja na Slaa. Na ukumbuke kama mnajipanga kupambana na Slaa tu mjue mmeliwa maana 2010 mlijua mnapambana na Mbowe. Bila Jaji Lewis Makame kufunga goli la mkono mbona mechi ingekuwa saa hii bingwa mwingine
 
  • Thanks
Reactions: GIB
Gamba wewe, DR SLAA ni rais wetu 20015,Kawadanganye MAFISADI WENZAKO.

uzoefu unaonyesha kupungua kwa kura kwa mpinzani pindi anaporudia kugombea! ila kwa kuwa umesema 20015 na sio 2015 may be ila ni miaka mingi sana kama karne ishirini zijazo.
 
Kwa mujibu wa maelezo yako hao wachache wanaopiga kura hapa Tanzania ndio huwa wanawapa kura CCM? Kama mnaogopa DR.Slaa kugombea urais mnaona lazima ashinde nyinyi anzeni kutekeleza matakwa ya wananchi hawatakuwa na haja na Slaa. Na ukumbuke kama mnajipanga kupambana na Slaa tu mjue mmeliwa maana 2010 mlijua mnapambana na Mbowe. Bila Jaji Lewis Makame kufunga goli la mkono mbona mechi ingekuwa saa hii bingwa mwingine

Mwenzio slaa keshakubali kikwete rais wake angalia alipoenda ikulu wewe bado huamini, kweli watz wa ajabu utafikili mnaishi sayari nyengine?
 
Kuna ukweli ambao yeyote hata kama si mpenzi wa CDM kama mimi ninakiri kuwa slaa alikuwa mbunge mahili sana na aliweza kutoa michango hai bungeni pamoja na kujenga hoja katika lile jumba la kifahari “BIG BROTHER”, lakini watu wengi wamekuwa wakihoji ni kipi kilichompelekea Dr. Yule aliyeruka toka diploma hadi Phd kugombea urais, Leo nitawaeleza siri kubwa ambayo ndio motive behind slaa kugombea.
Inasemekana CDM haikuwa na mpango wa kumsimamisha mgombea wa urais mwaka 2010, katika kikao chake kilichofanyika arusha baadhi ya viongozi walimpendekeza mboye ambaye alikataa, lakini pia wapo wajumbe walioshauri kuelekeza nguvu katika ubunge, udiwani na kukijenga chama zaidi, hoja hii ya pili ilipata nguvu sana na ndio lilikuwa azimio lisilo rasmi katika kikao kile.


Slaa alipatikanaje?
Inasemekana alishauriwa na baadhi ya wasisi wa CDM na pia katika kundi hilo walikuwepo viongozi wa “Watakatifu”, inasemekana Dr. hakushawishika na ushauri huo na aliomba ifanyike tathmin sahihi na aelezwe option zote ikiwemo nini atapata in return kama atakosa urais. Katika tathmini na upembuzi wao wataalamu wakaja na mambo yafuatayo


  1. Bila kujua kuwa walikuwa wanatumia daftari la kudumu la wapiga kura la zamani, hesabu za watu kwa kutumia majina yao(Sijui kwa nini walitumia majina), zilionyesha slaa anaweza kupata 52% ya kura zote kama mikakati itafanikiwa
  2. In case atakosa uongozi, atalipwa malipo yake yote kama alivyokuwa akipata akiwa mbunge (yaani 7.5 Milions)
  3. “Watakatifu” waliahidi full support kwa kutumia nafasi zao walizopewa ili slaa awe chaguo la mungu baada ya JK
Mapendekezo yalikuwa mengi ila hayo ni yale makubwa na baada ya mapendekezo hayo, ndio Dr. alipokubali kuyavulia nguo maji,


Udhaifu wa mapendekezo:
Kwa hakika lile lilikuwa kosa kubwa sana, moja ni kwasababu wengi wa watanzania hawapigi kura na huwezi kutegemea ushindi kwa watu hao, lakini baada ya mwezi mmoja kupita, TUME HURU YA UCHAGUZI ikatoa updated daftari la kudumu la wapiga kura likiwa na idadi kubwa zaid ya ile ya awali , kama mnakumbuka ilizusha malalamiko mkubwa na lilikuwa pigo la kwanza kwa CDM kwa kuwa kwa hesabu zilezile za majina lilipelekea mgombea wa CDM kuwa down.

Mwisho namshauri slaa next time 2015, agombee ubunge tena kwa kuwa tumeliona pengo lako bungeni na usipoteze tena muda wako na kugombea urais kwa kuwa ilikuwa kosa la kihistoria.

Asanteni
Trojan Downloader

No research no right to speak. In respect and honor of your thread expose your work cite.
 
Kuwa kichaa siyo lazima uokote makopo.

Inawezeakana kabisa uliyoyasema ndiyo yaliyotokea kumshawishi Dr. kugombea Urais. Lakini hakuna kitu kizuri tulichokipata Watanzania kama Slaa kukubali kugombea. Bila yule Judge, nafikiri wala usingekuwa unayasema haya. Kila mtu anafahamu nani alikuwa mshindi. Dr. Slaa kukubali yaishe haina maana kuwa alishindwa. Na wote tunalijua hilo. Hivi hujawahi kufikiria hata siku mmoja kwa nini matokeo ya Longido, Mpanda yaliweza kutangazwa mapema kabla ya Ilala, Kinondoni, Ilemela, au Arusha??
 
  • Thanks
Reactions: GIB
Nimeona kinyaa kuendelea kusoma,
hilo gamba linalokuwasha unaelekea kupata jipu!
 
Hebu acheni kumchuria babu wa watu.
2015 ni mbali na afya yake mwaiona
OTIS
 
Back
Top Bottom