Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
mimi hayo ninayoeleza ni kweli nitajaribu kumshawishi huyo mtu ajiunge hapa awape ushuhuda mwenyewe halafu huyo mtu, aliyemtibu ni mwanamke na hatozi kitu chochote ni bure tu anamuhudumia kwa dawa , chakula , malazi mpaka apone na huyu ni mtu wake wa tano hana tangazo wala haambii mtu labda watu wake wa karibu wakwambie na wakuombee kwake ndo akupe dawa hivihivi hapana.
I doubt, anaweza pata hata nobel prize huyo kama ni kweli...mpelekeni ITM (institute of traditional medicine)